Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Inna,mbona muda unasepa na bado hujapata umtakae,nahis kuna vitu vinagongana kwenye bandiko lako.hebu wapunguzie vigezo watu wakufuate
 
Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wafupi tutakosa wake jamaniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..ila kwa sifa hzi labda Cr7 atapenya...[emoji119][emoji119][emoji119]
 
bahati hizi zinanipita kila kukicha ila unavigezo sanaa na wewe kucha za miguu unazo zote?
 
Hujafanya vibaya kwani hata maandiko yanatuambia Eva alimlainisha Adam na Wadosi wanawake huoa wanaume. Kabila lako je?
 
Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
Ndoo maana hataki Wahaya, labda anatoka huko!
 
Kwanini asiwe Muhaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…