Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

u
Mbona ujasema kabila gani unakataa wahaya kwa kuwa unajua ungepata wengi maana ndo wenye sifa za elim unayotaka.kama utaki MTU amzidi kimaendeleo naisi Bill Gate ndo anakufaa
memaliza?
ok thanks
 
Japo hii post ya longi, lkn ww dada, unajisifu sana, hv kuna mwanamke msafi anayejisifu, subiri mwanaume apime oil ndio akueleze siri uc.yoijua. Halafu wanawake weusi mna tabu sana, complication zote za nn utafikiri ni wazuri kuzidi nn, ww kwa tabia zako hata ukimpata, utawanyanyapaa ndugu wa mmeo ambao unadhani ni wachafu kuliko. Halafu ww huna upendo na watu na umejaa dharau, mfano unaona wenye pua ndefu ndio watu, na kujisifu kuwa una iq kubwa, na kutolea nje wahaya, na hutaki wanaume wanaomiki p...m..b + smartphone, bila hilo p..m..b.. usingekuwepo na kuja kuandika mambo ya kukata kucha na iq yako below average.
 
Mwanzo niliona kama unanizungumzia mimi, ila ulipotaja sifa ulizo nazo wewe, nikazoom screen, kuona kama utakitaja kibarikio kama moja ya sifa zako, ghafla ukasema, we sio bonge, nikashuka chini kucoment. Bh the way, i rove u arr.
 
hii imepenyaaa dah kwa povu hili dia wewe huna kucha, ati kile kidole gumba chako hakina kucha unaogopa kuvaa open shoes?? pole.

asante kwa kuchangia lazima niheshimu mb zako. tuliza boli ndivyo nilivyo, ka rangi kangu lazima kakutoe povu. siogopi mtusi ukiongeza mb karibu tena.
 
kama mpaka sasa hujapata mwanaume, olewa na mganga, akufanyie dawa kunako.
 
100%
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbona hujisemi km una pua ndefu n.k au weka picha tukuthaminishe, mimi mhaya so sipo kwenye mchujo, ila nna washkaji hawajaoa wanaweza kukaa hiyo sekta, tuma picha tukusaidie uache huo upweke teh teh teheee aisee mambo haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…