Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
hahaha "ROVE"
 
Acha utoto umeambiwa najiuza? Miliweka offer am waiting for acceptance. Picha ya nini eti pua unadhani mm nusu pua, kanywe mbege ulale
 
Acha utoto umeambiwa najiuza? Miliweka offer am waiting for acceptance. Picha ya nini eti pua unadhani mm nusu pua, kanywe mbege ulale
Kuna walioolewa ndoa (waliopata bwana) ktk mazingira hayo hayo unayoruka viunzi. Mnywa mbege ndiyo mtarajiwa wako, sbb kesho ni jambo uc.lojua. Ww ruka ruka tu, mda unasonga.
 
Najua wengi wataogopa vigezo hii inanipa fursa ya kwenda moja kwa moja kuchukua jiko mama nakuja
 
Kuna maneno umeyatumia hapo juu kama nakuona vile ulivyoongea kwa uchungu vile.
YOTE kwa yote waliokidhi vigezo watakuja tusiokidhi tunamute tukisubiri watakao kuwa na vigezo vitakavyo tuinclude na sisi kama urefu, usafi Sana wengine ni wa kawaida Sana lakini kwa hivyo vigezo mungu akutangulie upate hitaji LA moyo wako litakalofurahisha nafasi yako
 
Mamiii vigezo vyooote hivyo ninavyo njoo inbobo tuyajenge
 
Lakini na ww una chura..chura hunogesha ndoa..usijekuwa flat hii huwa situmii
 
Amina
 
Hahahaaaaaaaa kuna comments zinachekeshaa , huo mradi mkubwa sasa haaaa nimecheka sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…