Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Una roho mbaya sana, baada ya kuona michepuko yako yote haifikii vigezo hata nusu ndo unajifanya kulipenda tangazo.

Hili tangazo nalifananisha na kama nafasi za ukomando zingekuwa zinatangazwa.
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Yeye sifa zake ni ndogo zaidi ya anayemtaka...huyu lazima atakuwa diva kaamua kubadilika baada ya mshindo wa juzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Masharti zaidi ya kuchukua form ya kugombea uraisi, wa hivyo hayupo na kama yupo alishawahiwa. Umba wako aisee kwani unaonekana uko aged sana
 
Sasa tatizo kwenye wasifu wako sijaona msambwanda so huna sifa ya kuwa na Mimi pamoja na kwamba umeanza kujihami oo...mimi ni binadamu Nina mapungugu
 
Sasa tatizo kwenye wasifu wako sijaona msambwanda so huna sifa ya kuwa na Mimi pamoja na kwamba umeanza kujihami oo...mimi ni binadamu Nina mapungugu
Wenye misambwanda wamejaa bar waweza kuwafata huko
 
Safi sana ,
Hongera . Mungu ndie upanga kila kitu,
Sifa zote ninazo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kabla ya yote rud darasan ukajifunze tofaut ya L na R
 
Inaelekea hadi leo hujapata mume.. sababu sijawahi kuona mrejesho.

Wanawake mjifunze kubamia maneno mengine hadi baadae au kufunga domo kabisa.
 
Katika hizo sifa kumi na nane embu ondoa sifa za kipuuzi km 8 hivi,bakiza sifa 10 za muhimu uone unavyopata mume haraka...sifa 18,14,12,11,toa 8 acha 7,5,4,1...huo wote mi utoto na upuuzi utakaokuchelewesha kupata mwanaume wa kueleweka.....
 
Mme 34 yrs. So ww utakuwa kwenye 30 yrs....safi sana endelea kumtafuta bado yupo ulaya anasoma. Akirudi atakuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…