Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Wewe unataka umuone aliekuzalia mume kwa lugha hiyo unaonyesha jinc ulivojeuri
 

DAH NIMEKOSA MKE KWA KIGEZO KIMOJA TU 13
 
sifa zote ninazo
navaa kiuno34 nna kifua kikubwa tuu ni mrefu 6.2ft
sina mtoto nna34yrs
nmekaa 2years joberg
nna hiace 3(150kper day) ila sina kazi nyingine
elimu yangu darasa la5TUUu!!
UKINIKERA NTAKUPIGA
vp nktafte?
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Kabla hujamsimanga MTU kuwa sio wife material, je wewe ni husband material??
 
Ina maana hadi leo mwenye vigezo hajapatikana? Mtoa mada tupe mrejesho ili uzi ufungwe.
 
Sijuhi kwa nini nimejisikia kusoma povu lako ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€nini shida chari yangu! nenda gym/ sauna upunguze mawazo๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ