Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

๐Ÿ™†๐Ÿ™†Ww dada ww hayo yote ulosema ikiwa ww ni bikra utapata wa namna hyo ikiwa sio basi tupo pamoja
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Natumaini huyo malaika alipatikana mana binadamu wa kawaida si rahisi kuwa na sifa zote hizo.
 
[emoji134][emoji134]Ww dada ww hayo yote ulosema ikiwa ww ni bikra utapata wa namna hyo ikiwa sio basi tupo pamoja

Ngoja mimi nikastiliwe na [mention]Lovelovie [/mention] , wewe unaetaka malaika mwenye Pua ka Choteo la Uji sikuwezi
 
Geji ishasoma, mshale mpakaa uchungulie vizuri ndio utauona.

Leo hii et mtu anataka Pua ndefu , yeye mwenye anapua ka ya Punda, panaaa
Kuna watu acha kabisa sura kama jipu uchungu
Ety me msafi me msafi sana aje hapa nmpitishie kidole nione kama kitatoka na vanilla
 
[emoji1787]

[mention]Kelsea [/mention] , wanaume tumeumbiwa shuruba , hata vitabu vitakatifu vinalitambua hilo, unaanzaje kuwa msafi kiasi hicho afu at the same time ukawa na mbesai [emoji23]
 
NAOMBA UNICHEKI PM FASTA KABLA NAFASI HAIJAJAZWA.
 
[mention]Kelsea [/mention] , wanaume tumeumbiwa shuruba , hata vitabu vitakatifu vinalitambua hilo, unaanzaje kuwa msafi kiasi hicho afu at the same time ukawa na mbesai [emoji23]
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Kuna aliyekuwa na vigezo kama vya kwako, mpaka sasa amegonga 47, sijui atabadilisha vigezo au vipi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ