Na hilo ndilo tatizo lao kubwa... Hawataki kuona msanii mwingine anafanikiwa, roho za ajabu kabisa!!Hapo umeongea tatizo wengine wanamuona mwengine asingeweza fanikiwa wanashangaa anaanza kupenya so hawapendi...na sikuzote rizki haiwezi kuzibwa na mtu
"WE", anaejulikana ni wewe na wenzio ama diamond!?, nyota za watu zina mwisho wake hasa jua likitokezaShot fired againView attachment 398328
unataka takwimu za aina gani au za idadi kubwa ya watoto ?kijana,usitudanganye kuwa ndomo ndo msanii nambari uno east Africa. leta takwimu
Mwanaume haiwezi leta mada za umbea kiasi hiki,ubora wa msanii unapimwa kwa tuzo na mafanikio kama ilivyo kwenye mpira,huwezi sema hii ni ligi bora wakati timu zake miaka mitano na zaidi hawana hata Uefa,karibu miaka tisa tuzo pendwa za ballon wanazisikia kwenye tv,eb tuanzie hapo mondi na kiba nani anatuzo nyingi kimataifa achana na hizi za kilimajungu awardsMleta mada ni Demu
wewe kama hujui wenzio wanajuaSwala la nani alilipwa kiasi gani ni Uongo mkubwa, hakuna mkataba wa kazi unaowekwa hadharani, makubaliano ya malipo ni baina ya meneja na waandaaji na ni Siri. Kama unahisi basi ni Uongo.
Huoni tu meneja wa diamond anavyolia na hiyo surprise ya kiba mombasa?sasa hapo kupaniki kuko wapi bro.
Mtakaba unao?mahaba mabaya mno
mondi alichukuliwa kwa 5m.ksh
king kiba 3m ksh
pia sijaona kupanic kupo wapi?
Kwan umeambiwa diamond hatoperform mtv mama tatizo nyie tema kibakuli mnaona ajabu kuperform mtv wakati mond huu n mwaka wake wa3 hatakuwa ana performHahaaa Leo katika pitapita zangu Insta nikapita kwa meneja wa diamond sallam , nikakuta kaweka picha za performance Mombasa lakini hizo caption zake imeonesha dhahiri kwamba Ally kiba anawanyima usingizi kwakwel na inasemekana kwamba hawakutegemea Kama king atatimba maeneo hayo[emoji3] [emoji3] [emoji3] Asee meneja kachanganyikiwa nimeweka screen shot naomba mniambie mwenye presha kwa mwenzie hapo nani[emoji23] [emoji23] [emoji23] King kiba Go go go.. Alafu msisahau king atakuwa Miongoni mwa Wasanii watakaoperform kwenye Tuzo za MTVmama.. Muwe na sikukuu njema ..
I LOVE ALLY KIBA , I LOVE HIS MUSIC, I LOVE HIS MELODY[emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7]
Mtakaba unao?
Kwa nionavyo mie.. Huyu kijana diamond anazidi kumrudisha alikiba katika midomo ya watu..
Kama ilivyopangwa ndivyo inavyotekelezwa..
Kwan umeambiwa diamond hatoperform mtv mama tatizo nyie tema kibakuli mnaona ajabu kuperform mtv wakati mond huu n mwaka wake wa3 hatakuwa ana perform
Alicho maindi meneja n kutumika kwa jina la diamond kuvuta watu halafu kikaja kisanii kingine nacho ku perform
Mkuu kweli shule nayo ni muhimu sanaFuatilia Post za hawa managers ndo utagundua upi ni Mchele na upi ni Pumba. Na hapo Shule ndo inapokuja katikati.View attachment 398559
Punguza mahaba watu wanasema kuwa crowd iliyovutwa na domo haijawai tokea kwa msanii yyt kiba anategema attention ya domo coz kila siku kiba anaenda Mombasa but hujawai vuta crowd kama hiyo ukweli haujifichiWiki mbili nyuma kiba alikuepo hapo mama ngina na watu walijaa hivyo hivyo
Watu kujaa sio ishu kinachozugumziwa ni kuwa kwny tangazo iliandikwa Diamond hataperform huyo mwingine hakutajwa so meneja wa diamond anaona brandname yake diamond imetumikwa kumnufaisha mtu mwingine piaWiki mbili nyuma kiba alikuepo hapo mama ngina na watu walijaa hivyo hivyo
Kwan umeambiwa diamond hatoperform mtv mama tatizo nyie tema kibakuli mnaona ajabu kuperform mtv wakati mond huu n mwaka wake wa3 hatakuwa ana perform
Alicho maindi meneja n kutumika kwa jina la diamond kuvuta watu halafu kikaja kisanii kingine nacho ku perform