brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Hahahahaha mnyakyusa yule kama kawaida yao hawana balanced diet wao kila kipitacho twende kaziHakuna mwanamke anakula chips kama Gigy Money.
Anakulaga hadi nusu sado.
Hahahahahaha mi mwenyew nilitaka niseme hivyohivyoNaona umepost picha ya Chakula na choo..
[emoji3] ...
Anakula anaenda kushusha mzigo anarudi kuendelea..smh
Hahaha leo nacheka tu comment za huu uziInaonekana huyu bidada anapenda sana kwenda toilet mana kila picha inayoletwa na wadau humu lazima kajifotolea chooni.
Halafu si nasikia anpeleka menyu vibaya sana hapo kapiga tu picha ili ungekuwa karibu vyote hivyo ungekuta amelamba.
Mkuu wala hajakosea tena kataja kidogo ndugu zake wabakula hao unaweza ukajua wanatania ila ndo unaona kinaisha hivyoAzarel Yan mkuu kungekua nakitufe change ku like mara elfu10 ii comment yak ninge Ilyk mara izo ....nimecheka sana ety Sadow[emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
yaah kazi kaziNaona umepost picha ya Chakula na choo..
[emoji3] ...
Anakula anaenda kushusha mzigo anarudi kuendelea..smh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio maana young dee alishindwa kukamudu aka kademu... Kanakula kama kiwavi 😱