Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Huyu ndiye Mehmet Emin Pasha ambao ni jina la kupewa...Eduard Schnitzer ndio jina lake halisi...
hawa ni wenzake akiwemo Mwandishi wa habari na mtafiti...Mwingereza...
Henry Morton Stanley... aliyekaa mwenye bakora katikati...
Hii ilikuwa inaitwa Relief Epedition iliyomuokoa Pasha kule Sudani baada ya kuzungukwa na Waarabu aliowaudhi kwa ukatili wake...
Baada ya kumuokoa Mfalme Leopold wa Ubelgiji aliwatuma Congo kutuliza ghasia.... wakafanya mauaji makubwa huko na kumuua Chifu wa moja ya Kabila huko....
Wakalaaniwa kuwa kila moja angekufa kifo cha ajabu... wakati wa kurudi wawili kati yao walikufa... mmoja kwa malaria mwingine kama sikosei kwa kutumbukia Mtoni asionekane tena....Pasha...alifia Uganda na mwingine Tanzania....
akabaki Stanley aliyekimbilia Cairo,Misri kumalizia kuandika kitabu chake haraka haraka ... alikimaliza kwa muda wa siku sitini tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hawa ni wenzake akiwemo Mwandishi wa habari na mtafiti...Mwingereza...
Henry Morton Stanley... aliyekaa mwenye bakora katikati...
Hii ilikuwa inaitwa Relief Epedition iliyomuokoa Pasha kule Sudani baada ya kuzungukwa na Waarabu aliowaudhi kwa ukatili wake...
Baada ya kumuokoa Mfalme Leopold wa Ubelgiji aliwatuma Congo kutuliza ghasia.... wakafanya mauaji makubwa huko na kumuua Chifu wa moja ya Kabila huko....
Wakalaaniwa kuwa kila moja angekufa kifo cha ajabu... wakati wa kurudi wawili kati yao walikufa... mmoja kwa malaria mwingine kama sikosei kwa kutumbukia Mtoni asionekane tena....Pasha...alifia Uganda na mwingine Tanzania....
akabaki Stanley aliyekimbilia Cairo,Misri kumalizia kuandika kitabu chake haraka haraka ... alikimaliza kwa muda wa siku sitini tu.
Sent using Jamii Forums mobile app