Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mpende msipende hawa jamaa wawili will one day rule this country.
January Yusuf Makamba ni mwanae Katibu Mkuu wa CCM YUSUF Makamba, ambaye kwa sasa ndiye mwakilishi wa Jimbo la Bumbuli. John Mashaka ni Mwanaharakati mkubwa, anayeiwakilisha Tanzania katika Soko la Kifedha la Kimataifa "Investment Banker" huko Wall-street Marekani. Hawa vijana ni vichwa, hawana umasikini wa hoja na sipunde nitafurahi sana kuwaona wakishirikiana kuiongoza hii nchi. January ni mtu wa kawaida sana, Mashaka naye ni kijana mchapa kazi na mwenye busara na upeo wa hali ya juu. Kwa hiyo tusiopenda maendeleo yao, nikiwa wa kwanza, sina budi kukubali kwamba hawa vijana wanakuja na kati ya Mgogoni St. Dar es Salaama. Nitawakaribisha ikulu ikiwa Ridhiwani, na Mzee Yusuf Makamba wamefungiwa nyororo shingoni
Watu wa Wall St mbona hawamjui John Mashaka? Anafanya kazi jengo gani Wall St ? Kuna watu wanapita Wall St kila siku ya kazi, kuanzia pale kwenye cemetery ya kanisani mpaka huku FDR Drive mtoni/ estuary, John Mashaka anafanya wapi?
Au ukitembelea NYSE na kuangalia mijengo ya Wall St tayari unaweza kujiita unafanya kazi Wall St ?
Wall St is a casino in a kindergatten anyway, labda kwa wabongo wasioijua tu ndiyo wanaweza kuheshimu hilo jina.