IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Katika jitihada za kuwahadaa Barcelona ili apate ushindi, Mourinho ameamua kuwa atamchukua Luis Figo na kukaa naye kwenye Benchi la Ufundi la Inter katika mechi ya nusufainali ya leo usiku kama ilivyoripotiwa na mtandao wa Soccernet.
Nukuu,
"However, Mourinho confirmed former Portugal winger Luis Figo, a hate figure at the Nou Camp after leaving Barca to join Madrid as a player, will be alongside him on the bench tomorrow night".
Hii ni staili ambayo Morinho hupenda kuitumia sana kwa lengo la kuwavuruga waopinzani wake akili ili wapoteze mwelekeo na kumwezesha yeye na timu yake kuibuka na ushindi. Nini maoni yako mdau. Kwa maelezo zaidi tembelea hapa:
http://soccernet.espn.go.com/news/story?id=778274&sec=uefachampionsleague&cc=3888
Nukuu,
"However, Mourinho confirmed former Portugal winger Luis Figo, a hate figure at the Nou Camp after leaving Barca to join Madrid as a player, will be alongside him on the bench tomorrow night".
Hii ni staili ambayo Morinho hupenda kuitumia sana kwa lengo la kuwavuruga waopinzani wake akili ili wapoteze mwelekeo na kumwezesha yeye na timu yake kuibuka na ushindi. Nini maoni yako mdau. Kwa maelezo zaidi tembelea hapa:
http://soccernet.espn.go.com/news/story?id=778274&sec=uefachampionsleague&cc=3888