Huyu ndiye mchumba wa mbwana samatta,anaitwa sandra friedrich.

Huyu ndiye mchumba wa mbwana samatta,anaitwa sandra friedrich.

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304



Screenshot_2013-12-07-01-09-43.png
Screenshot_2013-12-07-01-09-57.png
Screenshot_2013-12-07-01-10-04.png
Screenshot_2013-12-07-01-12-35.png
Screenshot_2013-12-07-01-13-26.png
Screenshot_2013-12-07-01-11-47.png
Screenshot_2013-12-07-01-11-10.png

Screenshot_2013-12-07-01-13-26.png
 
Wa kawaida sana hakuna jipya chini ya jua hlo nalo litapita


UZEE NA KUZEEKA NANI ATAKWEPA??????
 
Kuna tofauti sana kati ya.

1. Rafiki wa kike.

2. Mchumba

3. Mke.

Na kila hatua ina mchakato wake na gharama zake.

Wanaume wa siku hizi bana, unakua na uhusiano na msichana wiki moja unaanza kumuita mchumba mara wife..
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Ndo kamfanya Samata hasitupeleke Fainail challenge
 
Back
Top Bottom