Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Pitapita zangu mitandaoni nikakutana na hiki kitu kuwa huyu ndiye mdudu anayekuwepo usoni na kusababisha chunusi hizi tuzionazo baada ya balehe👇
Wanasema unapobinya chunusi hutokea weupe ule weupe unakuwa umetoka kwa huyo mdudu yaani umemfinya yeye na damu yake ndo inaachia mabakabaka usoni au eneo husika.
Swali kwa wataalamu je ni kweli?
NB: uzi usipelekwe JF doctors sitafuti tiba, bali mawazo na hoja za watu juu ya hilo swala.
Wanasema unapobinya chunusi hutokea weupe ule weupe unakuwa umetoka kwa huyo mdudu yaani umemfinya yeye na damu yake ndo inaachia mabakabaka usoni au eneo husika.
Swali kwa wataalamu je ni kweli?
NB: uzi usipelekwe JF doctors sitafuti tiba, bali mawazo na hoja za watu juu ya hilo swala.