Eboooooo wapi niliposema sijui iki kitu au wapi nilipozungumziwa msanii kusimamiwa huku akiwa anawasimamia wasanii wengine ebooookumbuka kuwa akina chrissbrown wanamanage watu na wao wanamanagia pia kama SONY INTERTAINMENT
Sasa wapi niliposema kuwa ukiwa unasimamiwa basi hautakiwi kusimamia wengine?si umesema anasimamiwa na Babu tale na Salamu
Source yaamneno yakoNi kweli kabisa usemacho, na utajiri wake kwasasa ni 5.6b$.
Gynacomastica syndromeAnamiliki kampuni ya Unity Entertainment...wakati in the same time nasikiwa kasaini na sijui na kampuni ya Babu Tale,or somebody else,ila kasaini kwa mtu tena recently tu...
Therefore kwenye medani ya biashara za ku-manage wasanii na biashara ya muziki kwa jumla hajafaulu...unaendaje kusainiwa kama msanii kampuni ya mwingine yako unamwachia nani?
Na pia,hizi taarifa za mali na mafanikio ya biashara kwa wasanii hua siamini takwimu,kiasili wasanii wote wanakuza vitu mara tatu zaidi ya ukweli just kujenga taswira ya showbiz,nothing more.
Hizo takwimu mi zitakua halisi kwangu kama nikizichukua na kugawanya kwa 3....
Na pia niweke wazi mrengo wangu,AY na MwanaFA nawachukia tu,sijui kwanini,I can not stand these guys...mi sio mnafiki,I hate these ni.ggaz for the sake of it....unajua kuna watu tu hua unawachukia bila sababu,basi kwangu mimi ni hawa jamaa,...basi tu,na sitaki ushauri [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
Mambo ya kitoto haya! Hii umeitaja fedha serikali yenyewe inaiota ktk ndoto kuikamata cash na kuitunza ipumzike BOT angalau mwezi mmoja bila kuitoa. Mambo yenu ya kitoto pelekeni facebook na whatsap sio hapa kwa Great Thinkers JF.Ni kweli kabisa usemacho, na utajiri wake kwasasa ni 5.6b$.
kwani inakuja bei gani Tsh?Mambo ya kitoto haya! Hii umeitaja fedha serikali yenyewe inaiota ktk ndoto kuikamata cash na kuitunza ipumzike BOT angalau mwezi mmoja bila kuitoa. Mambo yenu ya kitoto pelekeni facebook na whatsap sio hapa kwa Great Thinkers JF.
"Jamaa yupo vzuri ila alichonikera ni kukubali yule mzima mic Sallam awe meneja wake"hivi umenielewa kweli nilichoandika mwanzoni
Kwanza ujue bilioni 1 = 1,000,000,000kwani inakuja bei gani Tsh?
ni mambo ya kitoto kabisa ya kujipiga promokwani inakuja bei gani Tsh?
JIBU:kwani inakuja bei gani Tsh?
Fuatilia bajeti ya serikali yetu iliyopita uone ilikuwaje na hii fedha aliyosema mdau.kwani inakuja bei gani Tsh?
Habari za kuaminika ni kuwa,kumbe sio 5.6 b$, ila ni 9.7 b$ kuna mtu wake wa karibu kaniambia hapa.JIBU:
5.6×1,000,000,000×2,200
=Tsh12,320,000,000,000/-
Yaani ni Tirioni 12.32 fedha za kitanzania. Hiyo ni bajeti ya wizara ngapi ndogo?
Naomba kusahihishwa kama nimekosea.
This is sick! Na wewe umemuamini hata baada ya mimi kudadavua hizo namba? Huo ni utajiri mkubwa mno embu nenda katafute utajiri wa Bhakeresa au Mohmaed Dewj kisha linaganisha na ulichoambiwa na huyo mtu wa karibu na Ambwene kisha changanya na akili zako sio za kuambiwa tu kisha tuletee mrejesho hapa. Ukimkubalia huyo mdau alichokuambia basi jamaa atakudharau sana. Labda kama nae hajui hesabu na ana mtindio wa akili sijui wa ubongo.Habari za kuaminika ni kuwa,kumbe sio 5.6 b$, ila ni 9.7 b$ kuna mtu wake wa karibu kaniambia hapa.
Kama unawachukia ni bora ungekaanalo tu unazingua haina haja kuleta hapa
Hivi nimesema 9.7 b$ ........ Hiyo nimekosea ni 29.7 b$.This is sick! Na wewe umemuamini hata baada ya mimi kudadavua hizo namba? Huo ni utajiri mkubwa mno embu nenda katafute utajiri wa Bhakeresa au Mohmaed Dewj kisha linaganisha na ulichoambiwa na huyo mtu wa karibu na Ambwene kisha changanya na akili zako sio za kuambiwa tu kisha tuletee mrejesho hapa. Ukimkubalia huyo mdau alichokuambia basi jamaa atakudharau sana. Labda kama nae hajui hesabu na ana mtindio wa akili sijui wa ubongo.
Gynacomastica syndrome
Mimi simchukii mtu yoyote maana naamini hizo ni tabia za kike.
Ndio maana kabla hatujaanza kujadili hizo chuki zako za bila sababu kwa huyu jamaa nilitaka kujua jinsia yako.
Wewe ni JINSIA GANI?!
Mkuu unajua dollar billion moja tu 1bill$ unajua ni shillingi ngapi za kitanzania[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Hivi nimesema 9.7 b$ ........ Hiyo nimekosea ni 29.7 b$.