NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora tungebaki na Tanganyika yetuAnaitwa Mohamed Iqbal Dar ni mtanzania anayeishi wingereza
Mzee Mohamed Said shikamoo tunaomba mchango wako kwa hili
Sio Tanzania ndio lina swaga zaidi ya Tanganyika?Bora Tanganyika
Sio Tanzania ndio lina swaga zaidi ya Tanganyika?
Hahah!! Ningemtag mtu hapaTatizo sio swaga,tatizo wasukuma wanalitamka kizungu bora Tanganyika wanachanganya na ile accent nzito kama wanavyotamka ziwa vikitoria🤣🤣🤣🤣
Kulikua na haja gani ya kubadili jina wakati hamna mabadiliko chanya, tumesha poteza asili yetu kwa matakua ya mtu binafsi.Sio Tanzania ndio lina swaga zaidi ya Tanganyika?
Hahah!! Ningemtag mtu hapa
Alituingiza chaka kubwa sanaAnaitwa Mohamed Iqbal Dar ni mtanzania anayeishi wingereza
Mzee Mohamed Said shikamoo tunaomba mchango wako kwa hili
Sio Tanzania ndio lina swaga zaidi ya Tanganyika?
Nasubiri mzee wetu Mohamed Said atiririke kama bado kesho namwaga nondo ilikuwajeHuu uzi wakiuona Mohamed Said na FaizaFoxy tumekwisha
Mzee Mohamed Said tunaomba utupe hii historia ukipata muda.Anaitwa Mohamed Iqbal Dar ni mtanzania anayeishi wingereza
Mzee Mohamed Said shikamoo tunaomba mchango wako kwa hili
Bora hata ya Mzee Mohamed japo yupo biased kwenye story zake hasa likija swala la Uislam ila ana uwezo wa ku back up story zake na ushahidi.Huu uzi wakiuona Mohamed Said na FaizaFoxy tumekwisha
Huyu Ahamadiyya. Hana historia yakeMzee Mohamed