natalia anaandika kama yupo anagwajimwaHayo mambo ya 50 percent ya uongo, believe me!
Huyo mama hapo ni Joyce Luhanga ni ndiye alikuwa Mengi’s brain
View attachment 1091647
Mengi ana hotel gani?joyce mhavile ni ipp tu, bado bonite, madini, mahoteli, majengo na accounts binafsi za mengi. Natalia umeelewa??
Naamini atapata kwsbb ya watoto, asipopewa hao watoto wadogo wataishije? Hlf unaweza kukuta ndani ya ukoo wala hakuna vurugu km zilizopo huku kwenye mitandao.Write your reply... hivi kwanini wanawake HAWAPENDI kuona mwanamke mwenzake akiwa NA maisha ya furaha au mafanikio? kwel adui wa mwanamke ni mwanamke hata asipopata haina mana kwako, cha muhmu tu ni kupambana na haya maisha ili utoke vipi majungu na fitina ni element za ufukara na ujinga
Hayo mambo ya 50 percent ya uongo, believe me!
Huyo mama hapo ni Joyce Luhanga ni ndiye alikuwa Mengi’s brain
View attachment 1091647
Jacqueline hana cha 50, 10 1 percent. Joyce yupo tangia enzi za 1980
In Trump’s voice I say “ believe me “.
Mama ni Co-partner IPP tangia biashara imeanza jikoni so acheni blah blah blah