Huyu ndiye mwanamuziki anayeishi maisha halisi, sio kuigiza igiza

Huyu ndiye mwanamuziki anayeishi maisha halisi, sio kuigiza igiza

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wakuu,

Nimefanya research ndogo na kugundua kwamba kuna mwanamuziki moja tu anayeishi maisha yasiyo ya maigizo kama wenzake wanaoshinda wakiazima magari,nguo ,simu,viatu. Huyu anaishi maisha halisi naye ni K 4 REAL.

Bila shaka wakuu mnakubaliana nami hapa.

Jibu ni ndiyo
 
Yeah, ndio maana namkubali sana Kiba kiukweli.Lifestyle yake tu inampa heshima bado good music....
 
Kweli mkuu K 4 Real ndo msanii asiye na makuu na mtu. Wengine wote kazi ni kujishow show tu. Mtazame kiba hata maisha yake ya insta ni tofauti kabisa na wasanii wengi wa bongo.
 
Kweli mkuu K 4 Real ndo msanii asiye na makuu na mtu. Wengine wote kazi ni kujishow show tu. Mtazame kiba hata maisha yake ya insta ni tofauti kabisa na wasanii wengi wa bongo.

umeona hee ndio ukweli wenyewe mkuu
 
Yeah, ndio maana namkubali sana Kiba kiukweli.Lifestyle yake tu inampa heshima bado good music....

ndio maanake mkuu umeona jamaa hana mambo ya kuuzauza sura na bado akipanda jukwaani anakamua hatari
 
Sio kwamba ana penda kuishi ivyo tatizo ela sasa akianza kununua nguo kibubu cha kujazia ela ya kufanyia video ya kale ka wimbo kake c kitaisha ela yote

sio kweli coz huyu ndio mwanamziki mwenye mjengo hatari kuliko wote kiufupi jamaa ana swaga za kitoto kama kina fulani
 
Sio kwamba ana penda kuishi ivyo tatizo ela sasa akianza kununua nguo kibubu cha kujazia ela ya kufanyia video ya kale ka wimbo kake c kitaisha ela yote

Hivi unasemaje mtu hana pesa ilhali hajawahi kukulilia shida zake au akuombe pesa? Umeshaambiwa jamaa hapendi show offs ambazo kimjini mjini ndizo zinazoonesha mtu ana pesa kiasi gani.
Sasa Kiba yeye yupo kimya unajua vipi kama hana pesa? Tokea aanze mziki hajawahi kupata pesa? Ni lini uliona akitamba useme siku hizi hatambi sababu hana pesa kama zamani?
Kiba ni yule yule wajana na leo.
 
Ndo maana hata wale waimba mchiriku wameanza kujistukia kwenye Ktm 2014. Team kiba wote kwa pamoja tupige kura jamani kumpa mwanamuziki wa ukweli. Sio hao wanaoishi kwa kutegemea skendo.
 
Ila mkuu, kumbuka kujionyesha/kuigiza inahitaji uwe nao wa kuwaigizia/kuwaonyeshea, na viwepo vya kuvionyesha/kuviigiza sasa kajamaa hata wanaofuatilia habari zake hawapo atamuonyeshea /muigizia nani wakati munaoigiza/onyesha kuwa ni mashabiki wake kutwa mupo mumejazana Insta, fb na twit kwa NEMBO YA TAIFA mukipata update za kila siku kwa sababu zipo na mupo/tupo tunaozitaka
 
Ndo maana hata wale waimba mchiriku wameanza kujistukia kwenye Ktm 2014. Team kiba wote kwa pamoja tupige kura jamani kumpa mwanamuziki wa ukweli. Sio hao wanaoishi kwa kutegemea skendo.

Yaan bado mnawaza kili awards sie tunawaza tutapataje MTV awards, n bet awards ndo tofauti yetu ipo hapo mmoja n local mwingine n international artist
 
Ndo maana hata wale waimba mchiriku wameanza kujistukia kwenye Ktm 2014. Team kiba wote kwa pamoja tupige kura jamani kumpa mwanamuziki wa ukweli. Sio hao wanaoishi kwa kutegemea skendo.

Ama nini? Ni mwendo wa ku vote tuuu, mchiriku chaliiii mwaka huu.Na bado mwakani watapata nominations za kwenye taarab!

2015 jamani si unajua tena kutouch?

Mambo ya touch, mambo ya good music! Tumechoka vigodoro vya tandale.Mimi nilikua sijui vigodoro hadi nikajua! Loooh....
 
sio kweli coz huyu ndio mwanamziki mwenye mjengo hatari kuliko wote kiufupi jamaa ana swaga za kitoto kama kina fulani

No research No right to speak... Hebu ulete huo mjengo wa gharama hapa tuuone
 
Yeah, ndio maana namkubali sana Kiba kiukweli.Lifestyle yake tu inampa heshima bado good music....

Km anaimba good music je ana tuzo ngapi za international level je alishawahi pata hata nomination katika tuzo yoyote outside east Africa
 
Kweli mkuu K 4 Real ndo msanii asiye na makuu na mtu. Wengine wote kazi ni kujishow show tu. Mtazame kiba hata maisha yake ya insta ni tofauti kabisa na wasanii wengi wa bongo.

Insta ambapo am follow mtu hata mmoja anajifanya ana swag za Beyonce kweli ana makuu hata insta
 
Back
Top Bottom