Huyu ndiye Oscar Kambona

Pamoja na mochezo ya kisiasa, Nyerer anaonekana alikuwa mtu wa kisasi.
Kwanini alimsingizia Kambona kwamba ni mwizi??
Kwa sababu gani aliwaweka ndugu zake Kambona ndani kwa miaka 10?
Na ni kwanini aliwafukiza wake zao?

Kwa nini mambo haya yalifika bungeni na kujenga hoja za kisiasa na kuzalisha chuki ya kiwango cha juu kiasi kile??

NYERERE ALIKIWA NI MTU WA VINYONGO NA VISASI.

Mambo ya kisiasa huwa yanaisha kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere hakuwa na kisasi, ni mambo tu ya kisiasa yamekuzwa, charismatic yake ilimfanya wakaribu yake wamuogope kupita kawaida hawa ndiyo waliyafanya ili kumfurahisha, alikuwa Rais muungwana sana mweusi wa kwanza Duniani, kupinga utukufu, baadhi ya utukufu alio kataa ni km ifuatavyo mengine utaongezea;

Neno zidumu fikra sahii zake! binafsi yake alikataa.

Wananchi kuchonga bararbara kwa ujio wake, na kushinda mchana kutwa wakimwabudu-alikataa.

Kupewa mali nyingi wakati wa kustaafu urais alikataa!. na kuzigawa kwa chama!

Kumtaka aendelee kuongoza nchi alikataa! alipoona sera zake hazikubaliki tena!

Kuuza mateka wa LIbya kwa mafuta alikataa.

Kulamba viatu vya Kaburu ili kuwasaliti waafrica wenzake km Mobutu alikataa! akawa mstari wa mbele kulikomboa Bara la Africa. sasa haya yoote Kambona angefanya kweli? walikimbia, na alikuwa Mwoga ni dalili angetuuza, angekomaa afie humuhumu km Samwel Doe!

Si unaona mwanaume wa Mara kakimbizwa hapo Kigamboni , anakula mapapai mabichi na kawawa anasubiria mbwai, tena alilazimishwa na walinzi alikuwa hataki, ili afe na watu wake! kupotelea ndani ya Ikulu, hii ilimtisha sana Kambona, alidhani JKN katimkia ng'ambo,.but hakukuwa na dalili hizo!

wakati kambona anajidai kumtafuta na M-land rover wake mbovu, hakujua yuko wapi alikuwa anaogopa kujitangaza kuwa Rais! Mama Maria naye alivo shujaa kuliko Kambona kakomaa na mumewe wacha tufwe wote!.

Mke wa kambona alisisitiza wakimbie! wakale Bata London,wafaidi vijicent vya ukimbizi! yule Bwana alikuwa majanga kwisha kazi!

Wadogo zake kambona .zile ni huruma, aliwasaidia, na akawatoa huru kwanza wangeuawa na wafuasi wa Julius, km Idd Amin angewapoteza na JKN alikuwa na uwezo huo kabisa, unajua yaliyompata Dora Bloch mjini Kampala?

wake zao hawakuwa na kazi wala Elimu, kifupi illegal immigrant, kiswahili hawajui, waume hawapo, huko uzaramoni wanazodolewa, hela hawana, wale mawe?
 
Nyerere alikiwa na mapungufu kama binadamu mwingine,ila nadhani kwa uzalendo aliokuwa nao yale mapungufu yote huwezi kuyaona.Binafsi likitajwa baya lake huwa naona kama unamtukana hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa sana mtiririko huu kumbe nishawahi kumtukana Kambona bila kujua nikiwa shule ya msingi kwenye mchakamchaka. Kuna assumptions nyingi na theories za kutosha juu yake.
 

Makafiri bana.... Naona domo limekuchachamaa kumtetea Mkatoliki mwenzio. Jinsi alivokua anakandamiza dini zingine hasa uislamu. Amekufa sasa. Mfate Jehanamu!
 
Mkatoliki yule alikua annawachukia waislamu wakat ndio walikua mstari wa mbele kupigania uhuru.
Makafiri bana.... Naona domo limekuchachamaa kumtetea Mkatoliki mwenzio. Jinsi alivokua anakandamiza dini zingine hasa uislamu. Amekufa sasa. Mfate Jehanamu!
A,aaah! Siyo katoliki mimi. Kafir ni mtu yeyote mweusi! neno walitumia Waarabu, wakati wa utumwa! wapende upendavyo, lkn hawata kupenda katu, watakuita hivohivo!

Walikuwa wanafiki, hawana Elimu, wavivu, rahisi kudanganyika angalia Al shaabab, Alkaida Boko haramu, hawajui wanachotaka ubabe tu, wanaua vitoto bila hatia, wanawaza zinaa mda wote,

kila sehemu ni kuoa mke wa pili bila kujali wanaume wala wanawake wanafanywa wote. sehemu zote walizo kaa waarabu watu ni wazembe sana, kunywa gahawa tu, na ushoga! hata wewe hapo unatamani wanaume waolewe! yaani iko kwenye Damu,vizazi na vizazi.

Kama kizazi kilicho kutangulia kilifanya hivi huchomoki kitabia hata kwa mwonekano tu.
 
6 July 2020
Lindi, Tanzania

MEMBE baada ya kurudisha kadi ya CCM/tutajiunga na chama tutagombea uongozi wa juu tutashinda
Bernard Carmillus Membe akiwa kijijini kwake Rondo mkoani Lindi kusini mwa Tanzania aongea mazito baada ya kuiacha CCM kwa kurudisha kadi ya uanachama.

Alihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete kama Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania kwa miaka 10. Pia alipata kuwa mbunge wa CCM jimbo la Mtama mkoani Lindi. Alihudumu kama afisa mwambata wa ubalozi wa Tanzania kwa miaka 10 huko Canada ktk bara la Marekani ya Kaskazini. Pia alipata kuwa Afisa Mchambuzi wa ripoti ktk Kurugenzi ya Usalama na Intelejensia wa Taifa TISS katika Ofisi ya Rais.

Hali ya kisiasa mikoa ya Lindi na Mtwara na kwingineko Tanzania kwa ujumla inaonesha waTanzania wapo tayari kwenda na Bernard Membe ili kuweza kuweka sawa masuala ya kama kilimo, uvuvi, mifugo, gesi na Maendeleo ya Watu.
Source : Gilly Bonny Online TV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…