B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 379
Bwana Theophili Theonest nimesoma nae chuo kimoja ila madarasa tofuti, tumelala Hostel moja ila vyumba tofauti, Yeye alianza kusoma diploma ya Sheria Pale Mzumbe-Mbeya naona ndo amejiunga kwa sasa kusomea Degree wakati huo mimi nilikuwa mwaka wa pili pale chuoni nikisomea Degree ya sheria.
Wakati amejiunga pale alinifuata kunitaka ushauri kuhusu nafasi gani anaweza kugombea mimi nikamwambia anza na U-CR, Yaan Class Representative, alichukua form na akateuliwa na tume ya uchuguzi pale chuoni na bahati nzuri alishinda, mwaka uliofuata aligombea U-FR, yaani Faculty Representative alishinda, yeye ni Askari Magereza, na anapenda sana kunywa pombe na anapenda sana kitu kidogo yaani Rushwa, ingawa kichwani yupo vizuri lakini siyo sana. Baada ya kusikia taarifa kuwa amejitokeza kusema kuwa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekubaliana kuwa JANUARI Makamba agombee Urais na kumshuhudia akizungumza kupitia kituo cha Star-tv nikaona ni bora nimlete kwenu mumfahamu vizuri.
Wakati amejiunga pale alinifuata kunitaka ushauri kuhusu nafasi gani anaweza kugombea mimi nikamwambia anza na U-CR, Yaan Class Representative, alichukua form na akateuliwa na tume ya uchuguzi pale chuoni na bahati nzuri alishinda, mwaka uliofuata aligombea U-FR, yaani Faculty Representative alishinda, yeye ni Askari Magereza, na anapenda sana kunywa pombe na anapenda sana kitu kidogo yaani Rushwa, ingawa kichwani yupo vizuri lakini siyo sana. Baada ya kusikia taarifa kuwa amejitokeza kusema kuwa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekubaliana kuwa JANUARI Makamba agombee Urais na kumshuhudia akizungumza kupitia kituo cha Star-tv nikaona ni bora nimlete kwenu mumfahamu vizuri.