asam.thegunner
Member
- Oct 7, 2009
- 44
- 0
Sunday, 5 September 2010
Slaa anachumbia mtalaka na huyu wa Kikwete ni nini?
View attachment 13445
Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa Rais wao aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete kuanzia alivyokuwaMakongo Sekondari, Chuo Kikuu cha Dar es salaam,Sinza Kijiweni hadi nje ya nchi.
Ingawa CCM wanaona kama wamegundua silaha ya nyuklia ya kummaliza Dk Wilibrod Slaa kwa sababu aliachana na mama aliyezaa naye, jambo ambalo hafichi, wajue mtu wao, katika hili la ndoa, hana salama.
Tutaanza kuwaletea nyumba zake ndogo na baadaye tutaleta hata vyangudoa wa mitaani ambao amewahi kuparamia.
Tukimaliza hili, tutakuja na mgogoro wa kuanguka ambao ni ushahidi tosha kuwa afya yake ni ugogoro mtupu ingawa yeye na waramba viatu wake wanaficha.
Tuanze na hawara yake Kikwete anayejiweka weka kwenye udhamini wa mambo fulani fulani huku akimuigiza Salma Kikwete kumpigia kampeni mtu wake.
Hata Salma hatanusurika. Waliofundisha naye wako na wana data zake zote hata na alivyokutana na JK kwenye mazingira ya kutia kila shaka. Hapa bado hatujaenda kwao umakondeni na kuja na data nyingine nyingi tu. Hapa bado hatujagusia vimada waliojazwa kwenye ukuu wa wilaya na sehemu nyingine nyeti serikalini. Hapa bado hatujakuletea aliozaa nao na wanaharamu wake. Hapa bado hatujavinjari kila kona inayojulikana. Na CCM wajue. Tunapata data zake sawa na tulivyopata za EPA-wanaomjua wengi wako tayari kujitolea kuanika uchafu wake.
Hapa hatujagusa biashara zake na mambo mengine machafu kuliko hata hayo.
Inzi ana hekima moja kuu. Anasema. Ukijua huu naujua ule.
Posted by NN Mhango at 13:49
lakini kuna mtu yeyote aliyejitokeza rasmi kudai kuporwa mke na jk?
kama hakuna wa kujitokeza mahakamani hapo utaonekana mfitini tu.
kuna mtu yeyote anayeweza kuweka pingamizi akitoa sababu ya afya ya jk na kukawa na uwezekano wa kuwepo shauri?
am afraid hakuna vitu kama hivyo; sasa tunalalama nini?
Sunday, 5 September 2010
Slaa anachumbia mtalaka na huyu wa Kikwete ni nini?
View attachment 13445
Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa Rais wao aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete kuanzia alivyokuwaMakongo Sekondari, Chuo Kikuu cha Dar es salaam,Sinza Kijiweni hadi nje ya nchi.
Ingawa CCM wanaona kama wamegundua silaha ya nyuklia ya kummaliza Dk Wilibrod Slaa kwa sababu aliachana na mama aliyezaa naye, jambo ambalo hafichi, wajue mtu wao, katika hili la ndoa, hana salama.
Tutaanza kuwaletea nyumba zake ndogo na baadaye tutaleta hata vyangudoa wa mitaani ambao amewahi kuparamia.
Tukimaliza hili, tutakuja na mgogoro wa kuanguka ambao ni ushahidi tosha kuwa afya yake ni ugogoro mtupu ingawa yeye na waramba viatu wake wanaficha.
Tuanze na hawara yake Kikwete anayejiweka weka kwenye udhamini wa mambo fulani fulani huku akimuigiza Salma Kikwete kumpigia kampeni mtu wake.
Hata Salma hatanusurika. Waliofundisha naye wako na wana data zake zote hata na alivyokutana na JK kwenye mazingira ya kutia kila shaka. Hapa bado hatujaenda kwao umakondeni na kuja na data nyingine nyingi tu. Hapa bado hatujagusia vimada waliojazwa kwenye ukuu wa wilaya na sehemu nyingine nyeti serikalini. Hapa bado hatujakuletea aliozaa nao na wanaharamu wake. Hapa bado hatujavinjari kila kona inayojulikana. Na CCM wajue. Tunapata data zake sawa na tulivyopata za EPA-wanaomjua wengi wako tayari kujitolea kuanika uchafu wake.
Hapa hatujagusa biashara zake na mambo mengine machafu kuliko hata hayo.
Inzi ana hekima moja kuu. Anasema. Ukijua huu naujua ule.
Posted by NN Mhango at 13:49
lakini kuna mtu yeyote aliyejitokeza rasmi kudai kuporwa mke na jk?
kama hakuna wa kujitokeza mahakamani hapo utaonekana mfitini tu.
kuna mtu yeyote anayeweza kuweka pingamizi akitoa sababu ya afya ya jk na kukawa na uwezekano wa kuwepo shauri?
am afraid hakuna vitu kama hivyo; sasa tunalalama nini?
Haya ndio mambo ya mtandao/blogs picha inaweza kuwa hata ya kuzusha ili tu kumpakazia mtu au Rais . Chadema wanalipiza kisasi kwa kutumia picha za kubuni wakati Josephine alionyeshwa hadharani pale Jangwani. Kikwete anasakamwa kwa nini wakati mlalamikaji katika shauri la Dk.Slaa ni Aminiel Mahimbo?
Sunday, 5 September 2010
Slaa anachumbia mtalaka na huyu wa Kikwete ni nini?
View attachment 13445
Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa Rais wao aliyemaliza muda wake Jakaya Kikwete kuanzia alivyokuwaMakongo Sekondari, Chuo Kikuu cha Dar es salaam,Sinza Kijiweni hadi nje ya nchi.
Ingawa CCM wanaona kama wamegundua silaha ya nyuklia ya kummaliza Dk Wilibrod Slaa kwa sababu aliachana na mama aliyezaa naye, jambo ambalo hafichi, wajue mtu wao, katika hili la ndoa, hana salama.
Tutaanza kuwaletea nyumba zake ndogo na baadaye tutaleta hata vyangudoa wa mitaani ambao amewahi kuparamia.
Tukimaliza hili, tutakuja na mgogoro wa kuanguka ambao ni ushahidi tosha kuwa afya yake ni ugogoro mtupu ingawa yeye na waramba viatu wake wanaficha.
Tuanze na hawara yake Kikwete anayejiweka weka kwenye udhamini wa mambo fulani fulani huku akimuigiza Salma Kikwete kumpigia kampeni mtu wake.
Hata Salma hatanusurika. Waliofundisha naye wako na wana data zake zote hata na alivyokutana na JK kwenye mazingira ya kutia kila shaka. Hapa bado hatujaenda kwao umakondeni na kuja na data nyingine nyingi tu. Hapa bado hatujagusia vimada waliojazwa kwenye ukuu wa wilaya na sehemu nyingine nyeti serikalini. Hapa bado hatujakuletea aliozaa nao na wanaharamu wake. Hapa bado hatujavinjari kila kona inayojulikana. Na CCM wajue. Tunapata data zake sawa na tulivyopata za EPA-wanaomjua wengi wako tayari kujitolea kuanika uchafu wake.
Hapa hatujagusa biashara zake na mambo mengine machafu kuliko hata hayo.
Inzi ana hekima moja kuu. Anasema. Ukijua huu naujua ule.
Posted by NN Mhango at 13:49
Hizi nazo ni sera? Je wananchi hawatakiwi kuhoji afya ya kiongozi mkuu anayeanguka kila siku?
Amka kijana usitazame Rangi! Kwan rangi nini?.Fikiria uhalisia wa Chama na Watu wake ukijumuisha sera na siasa zake!Kwanza NEXT TIME ukiandika usitomie rangi yetu tukufu ya KIJANI!!.... na huyu mama ameenea katika blog za chadema tu!! haha!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI