Huyu ndiye yule au tumtazamie Mwingine? Saa ya Ukombozi ni Sasa

Huyu ndiye yule au tumtazamie Mwingine? Saa ya Ukombozi ni Sasa

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Boniface Mwabukusi ameamua kupasua jipu, ameamua kumfunga paka kengele, ameamua kuvaa mabomu. Hataki kuuma uma maneno. Amechoka. Ananikumbusha Mch. Christopher Mtikila miaka ile ya 1990s.

Huyu ndiye sauti ya Ukombozi? Napata maswali mengi sana. Je huyu ndiye tuliyekuwa tukimkongojea au tumtegemee mwingine? Tanganyika inatakwa kwa muda mrefu sana. Kama ambavyo Zanzinar inatakwa kwa muda mrefu.

Tanganyika inakaliwa na Rais ambaye anatokea Zanzibar. Hana uchungu na kuuza mali za nchi. Na watanganyika wachache walio naye wanaimba nyimbo za sifa na kuabudu as long as wanapata chochote kitu.

Je, Huyu ndiye au tumtegemee mwingine?
 
Unafiki tu umamsumbua
Boniface Mwabukusi ameamua kupasua jipu, ameamua kumfunga paka kengele, ameamua kuvaa mabomu. Hataki kuuma uma maneno. Amechoka. Ananikumbusha Mch. Christopher Mtikila miaka ile ya 1990s.

Huyu ndiye sauti ya Ukombozi? Napata maswali mengi sana. Je huyu ndiye tuliyekuwa tukimkongojea au tumtegemee mwingine? Tanganyika inatakwa kwa muda mrefu sana. Kama ambavyo Zanzinar inatakwa kwa muda mrefu.

Tanganyika inakaliwa na Rais ambaye anatokea Zanzibar. Hana uchungu na kuuza mali za nchi. Na watanganyika wachache walio naye wanaimba nyimbo za sifa na kuabudu as long as wanapata chochote kitu.

Je, Huyu ndiye au tumtegemee mwingine?
 
Namkubali sana Adv. Mwabukusi, anaitendea haki taaluma yake, hakika anastahili heshima na kupongezwa.

Ni msomi mwerevu, anayeongea kwa mamlaka, akitambua fika usomi wake unampa sifa ya kuhoji, na anajua anayehojiwa anatakiwa kusikiliza na kujibu, sio kusema ameziba masikio.

Majibu ya hovyo namna hiyo, ndio yanayosababisha Adv atoe ujumbe wake kwa namna afanyavyo, na lugha aitumiayo, ni kwasababu ameshajua anazungumza na mjinga asiyejali.

Huyu mtu ana sifa nyingine kubwa, licha ya kuwa msomi wa sheria zetu, lakini pia ni msomi wa maandiko matakatifu.

Haya ndio yanayompa nguvu ya uthubutu iliyopo ndani yake, anajua fika ni Mungu pekee ndiye anayetakiwa kuogopwa, huku mamlaka zilizowekwa na mwanadamu zikitakiwa kuheshimiwa.

Lakini licha ya kuheshimiwa huko, bado mamlaka za mwanadamu zinatakiwa zitende kuendana na matarajio ya wale zinaowaongoza, zikienda kinyume lazima zihojiwe.

Zinahojiwa kwasababu ni Mungu pia ndiye aliyetupa akili timamu, na maarifa, ya kutambua mema na mabaya, anajua fika kunyamaza kimya kwenye mazingira haya, ni dhambi mbele za Mungu.

Hapa sio pakufundishana matumizi ya lugha, kwasababu kucheka na shetani anayekupeleka utumwani ndani ya ardhi yako, ni sawa na kumkufuru Mungu, hivyo anayejua mafundisho ya Mungu, lazima awe mkali, ndivyo alivyo Adv. Mwabukusi.
 
Atakuwa yule pale atakapoongeza umaarufu wake mpaka bibi zangu waliopo kijijini wakamuelewa

Sio sisi vijana tumuelewe pekee

Mtaji mmojawapo wa CCM ni hawa bibi zetu wa vijijini
 
Boniface Mwabukusi ameamua kupasua jipu, ameamua kumfunga paka kengele, ameamua kuvaa mabomu. Hataki kuuma uma maneno. Amechoka. Ananikumbusha Mch. Christopher Mtikila miaka ile ya 1990s.

Huyu ndiye sauti ya Ukombozi? Napata maswali mengi sana. Je huyu ndiye tuliyekuwa tukimkongojea au tumtegemee mwingine? Tanganyika inatakwa kwa muda mrefu sana. Kama ambavyo Zanzinar inatakwa kwa muda mrefu.

Tanganyika inakaliwa na Rais ambaye anatokea Zanzibar. Hana uchungu na kuuza mali za nchi. Na watanganyika wachache walio naye wanaimba nyimbo za sifa na kuabudu as long as wanapata chochote kitu.

Je, Huyu ndiye au tumtegemee mwingine?
Hakuna siyo tu wa kuvunja Muungano bali hata wa kuutikisa! Msivimbishane vichwa. Kujaribu kuvunja Muungano ni uhaini. Dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilishaundwa tangu Aprili 26, 1964. 🙏🙏🙏
 
Boniface Mwabukusi ameamua kupasua jipu, ameamua kumfunga paka kengele, ameamua kuvaa mabomu. Hataki kuuma uma maneno. Amechoka. Ananikumbusha Mch. Christopher Mtikila miaka ile ya 1990s.



Huyu ndiye sauti ya Ukombozi? Napata maswali mengi sana. Je huyu ndiye tuliyekuwa tukimkongojea au tumtegemee mwingine? Tanganyika inatakwa kwa muda mrefu sana. Kama ambavyo Zanzinar inatakwa kwa muda mrefu.



Tanganyika inakaliwa na Rais ambaye anatokea Zanzibar. Hana uchungu na kuuza mali za nchi. Na watanganyika wachache walio naye wanaimba nyimbo za sifa na kuabudu as long as wanapata chochote kitu.

Je, Huyu ndiye au tumtegemee mwingine?
wapi video mkuu?
 
uhuru una garama zake
 

Attachments

  • FB_IMG_1688980714751.jpg
    FB_IMG_1688980714751.jpg
    35.3 KB · Views: 4
Hana uchungu na kuuza mali za nchi. Na watanganyika wachache walio naye wanaimba nyimbo za sifa na kuabudu as long as wanapata chochote kitu.
Nyimbo za kusifu na kuabudu kila upuuzi ufanywao mwisho wake u karibu. Mungu ibariki Tanganyika.
 
Back
Top Bottom