Huyu ndiyo Haji Manara El Bugatti mtoto wa comrade Sunday Manara

Napendekeza uwanja uitwe Young African Stadium tuachane na Majina ya watu
 
Hajji angekuwa amekamilika bila kasoro yoyote angewanyanyasa sana wenzie.
Ni mjinga asie jijua
Nafikiri kutokana na changamoto zake za kimwili, alilelewa akiambiwa awe mtu anayejiamini na asikubali kunyanyaswa. Shida inakuja anashindwa kuheshimu tofauti za mawazo na kujiamini. Mimi ningependa mara moja atokee mtu amshambulie na yeye bila limit ikiwemo hali yake, najua jamii itareact kukemea lakini atajifunza.
 
Sasa huyo kazumari si katoa maoni yakee, yeye km kupinga angetoa hoja, sio kupovukwa hivyo.
 
Unataka nitilie mashaka na babalevo?
Maana wote ofisi yao moja...unasemaje
Sasa baba levo si anataka kumzalia Domokayaa, sijui Domo hataki au anaogopa child support.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], niachee bhanaa wee
 
Sasa baba levo si anataka kumzalia Domokayaa, sijui Domo hataki au anaogopa child support.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], niachee bhanaa wee
Nichukue rula na kalamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…