Huyu ndiyo Yoweri Kaguta Mseven: Mabeberu wanamjua

Huyu ndiyo Yoweri Kaguta Mseven: Mabeberu wanamjua

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameurudisha bungeni muswada wa sheria ya sheria ya kupinga mapenzi ya jinsia moja nchini humo. Msemaji wa Rais, Bw.Sandor Walusimbi amesema, Rais Museveni amependekeza marekebisho ya adhabu kwenye muswada huo kabla hajausaini.

Kwa sasa muswada huo unatoa adhabu ya kifungo cha maisha kwa watakaopatikana na hatia ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Mapendekezo ya Museveni ni kuwepo na "uwanda mpana" wa adhabu kulingana na ukubwa wa tatizo. Wale walio tayari kubadilika na kuachana na vitendo hivyo wapewe adhabu ya kifungo hadi miaka 30 jela na wakitoka wawe chini ya uangalizi maalumu, huku wengine wakifungwa hadi kifungo cha maisha. Wanaume watakaolawiti watoto, au mashoga na wanawake watakaowarubuni watoto wawaingilie kinyume na maumbile watanyongwa hadi kufa.

Kuhusu haki za binadamu Museveni amesema "Mungu aliwaumba binadamu lakini waliposhiriki ngono za jinsia moja (Sodoma na Gomora) aliwachoma moto na kuwateketeza. Leo watu wanataka kumfundisha Mungu kuhusu haki za binadamu aliowaumba mwenyewe? Inachekesha. Hivi kuna mtu mwenye kujua haki za binadamu kuliko yeye aliyewaumba? Kama yeye aliwachoma moto, mimi kuwafunga jela bila shaka nimewachagulia adhabu nafuu zaidi"

Marekebisho mengine kwenye muswada huo yanahusu ngono za mdomo (oral sex). Museveni amesema litakua kosa la jinai kwa mtu yeyote kufanya ngono kinyume na njia ya asili (against the order of nature). "Mungu aliumba mdomo kwa ajili ya kula na kuongea, sio kufanya ngono. Ndio maana mdomo upo hadharani na sehemu ya kufanya ngono ipo faragha" amesema Museveni.!
 
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameurudisha bungeni muswada wa sheria ya sheria ya kupinga mapenzi ya jinsia moja nchini humo. Msemaji wa Rais, Bw.Sandor Walusimbi amesema, Rais Museveni amependekeza marekebisho ya adhabu kwenye muswada huo kabla hajausaini.

Kwa sasa muswada huo unatoa adhabu ya kifungo cha maisha kwa watakaopatikana na hatia ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Mapendekezo ya Museveni ni kuwepo na "uwanda mpana" wa adhabu kulingana na ukubwa wa tatizo. Wale walio tayari kubadilika na kuachana na vitendo hivyo wapewe adhabu ya kifungo hadi miaka 30 jela na wakitoka wawe chini ya uangalizi maalumu, huku wengine wakifungwa hadi kifungo cha maisha. Wanaume watakaolawiti watoto, au mashoga na wanawake watakaowarubuni watoto wawaingilie kinyume na maumbile watanyongwa hadi kufa.

Kuhusu haki za binadamu Museveni amesema "Mungu aliwaumba binadamu lakini waliposhiriki ngono za jinsia moja (Sodoma na Gomora) aliwachoma moto na kuwateketeza. Leo watu wanataka kumfundisha Mungu kuhusu haki za binadamu aliowaumba mwenyewe? Inachekesha. Hivi kuna mtu mwenye kujua haki za binadamu kuliko yeye aliyewaumba? Kama yeye aliwachoma moto, mimi kuwafunga jela bila shaka nimewachagulia adhabu nafuu zaidi"

Marekebisho mengine kwenye muswada huo yanahusu ngono za mdomo (oral sex). Museveni amesema litakua kosa la jinai kwa mtu yeyote kufanya ngono kinyume na njia ya asili (against the order of nature). "Mungu aliumba mdomo kwa ajili ya kula na kuongea, sio kufanya ngono. Ndio maana mdomo upo hadharani na sehemu ya kufanya ngono ipo faragha" amesema Museveni.!
Kapuku tu huyo Mseveni
 
Kwahiyo ule ukimya uliotafsiriwa kaufyata, kumbe alikuwa anapitia neno kwa neno!

Malema atatoka na lipi kwa sasa?
 
Kuna mishangazi fln ya Zanzibar wapo huko twitter yani kazi yao ni kutetea ushoga. yn mm nngekuwa rais wa hii nchi aisee yale maneno kwa JPM kuwa ni dikteta, kwangu mimi sijui wangesemaje mana nisingekuwa na mfano.

Hawa mashagazi mtawapimaje kuijiridhisha kuwa wanasagana?
 
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameurudisha bungeni muswada wa sheria ya sheria ya kupinga mapenzi ya jinsia moja nchini humo. Msemaji wa Rais, Bw.Sandor Walusimbi amesema, Rais Museveni amependekeza marekebisho ya adhabu kwenye muswada huo kabla hajausaini.

Kwa sasa muswada huo unatoa adhabu ya kifungo cha maisha kwa watakaopatikana na hatia ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Mapendekezo ya Museveni ni kuwepo na "uwanda mpana" wa adhabu kulingana na ukubwa wa tatizo. Wale walio tayari kubadilika na kuachana na vitendo hivyo wapewe adhabu ya kifungo hadi miaka 30 jela na wakitoka wawe chini ya uangalizi maalumu, huku wengine wakifungwa hadi kifungo cha maisha. Wanaume watakaolawiti watoto, au mashoga na wanawake watakaowarubuni watoto wawaingilie kinyume na maumbile watanyongwa hadi kufa.

Kuhusu haki za binadamu Museveni amesema "Mungu aliwaumba binadamu lakini waliposhiriki ngono za jinsia moja (Sodoma na Gomora) aliwachoma moto na kuwateketeza. Leo watu wanataka kumfundisha Mungu kuhusu haki za binadamu aliowaumba mwenyewe? Inachekesha. Hivi kuna mtu mwenye kujua haki za binadamu kuliko yeye aliyewaumba? Kama yeye aliwachoma moto, mimi kuwafunga jela bila shaka nimewachagulia adhabu nafuu zaidi"

Marekebisho mengine kwenye muswada huo yanahusu ngono za mdomo (oral sex). Museveni amesema litakua kosa la jinai kwa mtu yeyote kufanya ngono kinyume na njia ya asili (against the order of nature). "Mungu aliumba mdomo kwa ajili ya kula na kuongea, sio kufanya ngono. Ndio maana mdomo upo hadharani na sehemu ya kufanya ngono ipo faragha" amesema Museveni.!
Makubwaa 🤔🙌
Khaaa hapo kwenye mdomo 😅
 
Mdomo nao nao sasa uvalishwe chupi....ushakuwa sehemu ya faragha
 
Back
Top Bottom