Kinachomtambulisha kuwa ni mwanamke ni kitu kimoja tu ambacho hakionekaniBondia wa kike Zarika, Bingwa wa uzito wa Light weight Afrika. View attachment 1055903
Wewe wacha kukosea huyu Mkenya heshima kijana. Naeza muita aje akupige ngumi kadhaa za kisogo. Huyu sio bingwa wa Afrika la hasha. Huyu ni bingwa wa dunia. Huyu ni WBC World super bantam weight champion. Na pia amedefend belt kwa mara ya tatu juzi Nairobi kwa hivyo amepewa belt milele kwa sababu ukidefend belt mara tatu unapewa uende nayo nyumbani milele na milele amina.Bondia wa kike Zarika, Bingwa wa uzito wa Light weight Afrika. View attachment 1055903
Jombaa, unamaanisha kisigino? [emoji1]Kinachomtambulisha kuwa ni mwanamke ni kitu kimoja tu ambacho hakionekani
Jr[emoji769]
Hapana mdomo pacha [emoji23][emoji23][emoji23]Jombaa, unamaanisha kisigino? [emoji1]
Acheni masihara huyu ni ke?Bondia wa kike Zarika, Bingwa wa uzito wa Light weight Afrika. View attachment 1055903
Nahisi ni pacha wake Mwakinyo kabisawewe unamuonaje mkuu?