Huyu ndo Obama mnayemfagilia; Anaruhusu ABORTION!!

I once said, if you hated Bush there is no reason why you should love Obama,and people shouted at me.This is just the tip of the iceberg,the worst is still to come.

Upande wowote ambao atachukua hakutakosa lawama. Suala la abortion ni dilema kubwa. Lakini ni vizuri ameweka msimamo wake wazi na yupo tayari kuusimamia.
 
Tangu lini Marekani wamezuia abortion? Itakuwaje nyinyi mnaopinga abortion hamna tatizo na kunyonga binadamu mwenzako? Nyinyi mnaopinga abortion, ni wangapi kati yenu walioenda ku'adopt' angalau katoto kamoja katika mamilioni wanaotelekezwa na wazazi wao kwa sababu mbalimbali? Si nyinyi ndio mliomkataza asitumie kinga na uja mzito ulipomkuta, asiiharibu mimba ( ingawa alijua kabisa kuwa uwezo au/na nia ya kumtunza mtoto hana)? Ndiyo nyinyi ambao mko msitari wa mbele kuzuia watoto wenu wasitumie kondom kujikinga na huyu mgeni wetu ati kwa sababu watakuwa wanazuia mimba! Yote haya mkijua wazi kuwa watoto hao wameisha anza kufanya ngono.

Mkumbuke kuwa hiii dunia si ya wakristu au waislamu peke yao. Wewe kama hautaki abortion hakuna atakayekulazimisha ku-abort. Kama vile tunavyoheshimu uamuzi wako wa kukataa kutoa mimba basi nawe heshimu uamuzi wetu wa kutoa mimba!

Amandla.........
 
obama sio hivyo tu, anaruhusu hadi ushoga. yule jamaa hafai, ni mjinga sana. hana dini moyoni mle. unajua watu wote wenye damu ya kikenya huwa na akili moja, utafikiri walipikwa kama maharage wakaungulia(nawatania ni watani wetu,not serious). mi namwambia tumeshabikia tu kwasababu ni mweusi mwenzatu, ila angekuwa mweupe, waafrika hatungeweza kumshabikia obama hata siku moya, kwasababu ni mnafiki wa kiroho, anajali maisha ya kawaida kuliko maisha ya kumpendeza Mungu. kama mama yake mzungu angemuabort, yeye angekuwa president lini?na huko kutopinga ushoga, atakuja apate adhabu pamoja na mashoga siku ya mwisho.
 

Nyinyi kina nani? Mimi ni pro-life all the way na napinga hukumu ya kifo. Hukumu ya kifo si adhabu na si deterrence ya uhalifu.

Mimi ni pro-life na naunga mkono matumizi ya kinga.

Mimi ni pro-life na nachangia mchango wa fedha katika orphanage mbili.

Sasa hao "nyinyi" unaowazungumzia wewe sijui ni kina nani?
 

Madel Wa - Madilu, surely your not serious at all. Please confess that you was kidding and that you meant it not!!!!!!!!
 

N.N. Basi wewe ni pro-life/conservative lite! Haumo katika hawa ninaowazungumzia. Ninaowazungumzia ni conservatives damu damu. Wenye mawazo kama ya Rush, Sean na wenzake. Ambao sehemu nyingi ni majority. Watu kama nyinyi mara nyingi mnaonekana "fake".

Amandla................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…