Huyu ni aunt ezekiel ama kituko ;nani kamtengeneza hivi jamani

wana allergy na wanaume maskini! woteeeeee wanataka wenye mshiko na mapene ya kufa mtu! sijajua uhusiano wa real luv na MONEYYYYY! mwenye kujua anijuze tafadhali!

"Money is directly proportional to Real luv" Nafikiri mrembo umenipata hapo.
 
mke mwenzangu wa sirini, morning! kwa kwekweli huwa najiuliza hilo swali na sijapata majibu kabisaaaaaaa, ila ngoja lara 1 aje na Natalia labda nitapata majibu muafaka.!

Jibu ni simple!!!!!!!!!! Jst keeping it real na kucheza karata zako vizuri!!!!!!!!!!! Ishu ni kuwa mtu kama mie, napenda kila simu ikitoka niipate(nakunyaaa kuisaka I phone 5 S), Na migadgets mingine ikiwemo i pad, camera, sikawii kuchoka nguo nilizonazo, napenda outing sanaa, bia na wine ndo usiseme, viatu navyo, pochi zilivopanda bei! Ili niwe na true happiness lazima kuwe na smooth supply ya hivi vitu!!!!!!!!!! And hivi vitu vinascream MONEYYYYYYYYYYYY!!!!!!!! Hata nikitoka na mtu hana uwezo wa kuprovide ni chemical reaction tupu. Mtu anajitahidi ananinunuli I phone, kumbe kwangu i was expecting more of an I phone 5 S. Hata mwenyewe atakereka demanding, demanding and more demanding. Ila mtu kama zipo ni vitu vidogo sanaaaaa.

It all depends on how you choose to live your life. Kuna watu furaha yao haipo in material aspects.
 
wana allergy na wanaume maskini! woteeeeee wanataka wenye mshiko na mapene ya kufa mtu! sijajua uhusiano wa real luv na MONEYYYYY! mwenye kujua anijuze tafadhali!

Chapaa can buy everything isipokuwa uhai na uzima wa milele
 
Kuna dogo amekamata kimeo hicho sijui ndoa ya mkataba?
 
Mwanabodi,

Shida yako wewe ni mwanasiasa sana na umezoea kuona picha za kisiasa zaidi, na hayo ni mambo ya burudani,,,,hata kwenye magazeti Siasa ni ukurasa wa mbele burudani na michezo kurasa za nyuma....wanaoangalia kwa kutumia jicho la tatu,,,THAT'S VERY VERY OKEY for Aunt Ezekiel
 
Watu wanaomtakia mema huyu binti anzeni sasa kumsaidia ili apone haya matatizo ya kiakili.
Soon she will undergo mad.
 
concrete mad utaanza wewe
nakwambia hawa wakiwekewa pete kwenye kidole wanabadilka kuliko ile mifugo tuliokuwa tukiiamini kukmbe inatuibia kisiri mpwa bora hawa walikuwa wana enjoy wanavyotaka sasa wamemaua kutuli andio maana nkaomba akitoa asitoe sana
 
Nampa mwaka m1. Atakua amesha achika.

Mtazamo
 
ghian ungekuwa padre
wazinzi wangekuwa wengi kweli maana ungefunguisha huku unaomba sirini waachike na mmoja wao aje kwako uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ahahah mkuu didy kwani huwajui wanaofungaga ndoa na kujitangaza mji mzima? Hazidumu
 
Pdidy sikutaka kuikopi hii yote lakini imenibidi

please kaianzishie thread yake peke yake hii kitu muhimu sana kuijadili peke yake sio hapa
 
Last edited by a moderator:
ok Mkuu MM
Niliona si haba kumfunda mwanangu akielekea ukweni akirudi nyumban ni mie napata shida mpwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…