Kama uliweza kufanya research yote hiyo, kilikushinda nini kumalizia?Ndio mkuu,halafu aliyechapa hicho kitabu ni padri,Privatus Karugendo ambaye alisoma na Dr.slaa ndo maana nkawa nahisi labda ni mtu mmoja
kajamaa kanahangaika tu,Unaona sasa? Kumbe ulikuwa una uwezo wa kuperuzi kupata jibu. Kulikuwa hakuna sababu ya kuanzisha thread kama ungeperuzi kwa lengo tu la kujua.
Maadam sasa umeshajua haya uliza sasa ulichotaka kuuliza.
KwikwikwiiiiLengo lako hasa ni nini? Umeshaambiwa ni watu wawili tofauti we unabisha. Sasa kama vipi thibitisha wewe basi kuwa ni mtu mmoja.
kajamaa kanahangaika tu,
Haka ni ka kukahamishia meza arif. Afu huko Mashariki ya mbali unawatoroka lini? Port View panakumis chalii angu.
Ndio mkuu,halafu aliyechapa hicho kitabu ni padri,Privatus Karugendo ambaye alisoma na Dr.slaa ndo maana nkawa nahisi labda ni mtu mmoja