<br />Aisee mbona umenisemea maneno yangu? Siongezi neno nitaharibu
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kumbe upo!Nilikumiso sana!
<br />Mtambuzi haya mambo ya ndoa ni magumu saana.... Unapokua binti mdogo unapata mume kakulea na kukupa lolote utakalo... yaani ni mume in name na vitendo... kahakikisha umeongeza kisomo... kahakikisha kua umepata kazi nzuri yaani yeye anakupa support ya kila namna ambayo yeye kama mume anasatahili na hata beyond that... Ndio maana katika zile marital maneno kuna "For better For Worse".... Maisha yanabadilika... mumeo anaweza fukuzwa kazi au biashara ikaenda vibaya.... Huyo mume hata achukue miaka miwili ama zaidi kuweka mamboa yake sawa na akakutegemea kwa kila kitu.... ana haki na wala sio mzigo.... Na hata kama sio yeye kakuendeleza but in short he is a good man.... then he deserves support from the wife....<br />
<br />
N:B Nashukuru kwa kutupa a Break wamama na kuamia kwa Wanaume leo....
<br />Saafi AshaDii..umefikiri kikubwa.. amebahatika anayekumiliki.. <br /><br />
<br />
<br /><br /><br />
<br /><br />
Unawezakuta nae ndo wale wale...i love this movie on O Z ...this young boy like to scream 'all woman are bitche.s'