Huyu ni nani?

Huyu ni nani?

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
GO9G4179.JPG


nilikuwa nauliza kama mnaweza kunitajia majina ya hawa waheshimiwa...kama kutakuwa na taarifa zao za ziada basi ndio mtakuwa mmefanya vyema zaidi

MICHUZI: JK hosts East African Law Society Members today
 
Kuna huyu wa kulia mwenye kikuku miguu yote anamtamani Kaka huyu!
 
huyo dada ana mguu wa nguvu...huo sasa ndio usafiri...:bored::tape:
 
tazama kwa makini hiyo picha THEN tazama BODY language yake huyo dada kulinganisha na waliopo kwenye picha wengine
 
Acheni majadiliano yasiyo na tija..................
 
na huyo dada wa haponyuma naomba kutajiwa jina lake..
 
tazama kwa makini hiyo picha THEN tazama BODY language yake huyo dada kulinganisha na waliopo kwenye picha wengine




Mkuu mimi nimetazama na lugha inaniambia kuwa hapo mtu ameshakorea kwa Mkwer.e aka mkware na kuna uwezekano mkubwa kuwa amesharowana........
 
kwa majina siwafahamu but ni wanachama wa chama cha wanasheria wa EAC
 
Back
Top Bottom