mtu wake wa karibu sana Bwana Davis Mosha ndo anajiandaa kuukwaa Umakamu Mwenyekiti klabu ya Yanga.
Do ur mean David Mosha wa ukoo wa mbwaharuki wa kibororoni?
kama watawala wenu wangekuwa na vyombo vya usalama na vyenye kusimamia sheria taarifa tulizowasaidia kukusanya hapa zingetoka kuanzisha uchunguzi huru na mtu kutiwa pingu.
kama watawala wenu wangekuwa na vyombo vya usalama na vyenye kusimamia sheria taarifa tulizowasaidia kukusanya hapa zingetoka kuanzisha uchunguzi huru na mtu kutiwa pingu.
Mbona alishatiwa pingu kwenye ile kesi ya cheki ya kufogi na haijasaidia kitu baada ya kesi kupotea kimazingira? TRA walifunga accounts zake na kuziachia tena kimiujiza?Nchi hii tunatukuza wezi na watu wanaoishi kitapeli hata ukisikiliza nyimbo zetu wanasifiwa sana.
Ukitaka mambo yako yaende vizuri basi wewe kuwa mwana CCM, "MH sumayi" Hapa tutasema mpaka kiama lakini jibu ndio hilo.
nasikia vijana wa bongo flava wamehongwa sana magari na pedeshee huyu ili awale witi wao.
ili kiwe nini?
kama watawala wenu wangekuwa na vyombo vya usalama na vyenye kusimamia sheria taarifa tulizowasaidia kukusanya hapa zingetoka kuanzisha uchunguzi huru na mtu kutiwa pingu.
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:
Merei Balhaboo
Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
kama watawala wenu wangekuwa na vyombo vya usalama na vyenye kusimamia sheria taarifa tulizowasaidia kukusanya hapa zingetoka kuanzisha uchunguzi huru na mtu kutiwa pingu.