Huyu ni nani?

who seeks equity must come with clean hands------------imenifurahisha sana hii, so we angalia our president does he has clean hands??? somepne tell me and with concrete supporting docs, look the LOOP he is surrounded with---------no clean hands there and the loop still aspiring for the second term, are we nuts????? MJ unaweza kuniambia what is wrong with our nervous---our brains must be leading us involuntarily. it nis time to stand and say enough is enough------------cast your vote on 31st october with BIG YES for Dr Slaa unless we will keep rolling over dirty pond forever
 
who seeks equity must come woth clean hands----imenifurahisha sana hii, so we angalia our president, does he has clean hands???? i dont think so, look the loop he is surrounded with, and still are aspiring for the second term, si nchi yetu itakufa kabisa after the coming 5 years?, wale wafanya biashara za madawa ya kulevya wako wapi, lakini look drugs still is a problem to an extraordinary Tanzanians, alisema takomesha ufisadi pale bandarini lakini look the situation there, utafikiri is a failure country, alisema ataboresha miundo mbinu, lakini look reli ilivokufa because of 10%, angalia ATCL ilivokufa, ordinary Tanzanians tunashindwa kusafiri kwa ndege kisa tu presicions wamejifanya mungu watu na ndege zao, so the guy is a scam, so hiyo vita na rushwa hiyo iko wapi----iwapo hizo failure zote zimetokana na poor and misleading leadership---0this is a failure to him and he has to consede
 
tiot owner na biashara magendo ya mafuta mwenda mashariki drc....maskani mg,hapa dar office(rage alishawahi kuwa mhasibu wake).....moro united owner kabla hajaiuza....

pia nackia kwa totoz hajambo wanamsifia kwa kuhonga sijui pana ukweli hapo?
 
huyu jamaa hafai kama yule ya dowans kwakuwa nae ni mvaa kanzu
 
Alinunua maghorofa kutoka serikalini kwa mkopo maeneo ya kihonda morogoro. Hakulipa hata 10% ya malipo, na baadae aliyauza tena kwa serikali kupitia SUA kwa hela kibao (sasa hivi yanatumiaka kama hostels za wanafunzi wa SUA)
 
Hivi hiyo report bado tu ? mzee mwanakijiji tafadhali tunasubiri
 
Nakumbuka mwaka 1999 hadi 2003 tulisoma na kijana wake alikuwa anaitwa Salim Balhaboo, kijana alitoa kali ya mwaka alinunua pepa (ilikuwa ni ya form 4) alipoingia kwenye pepa akakuta kitu sio chenyewe basi akaropoka "sio hii" tukabaki tunamshangaa tu,

Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:

Merei Balhaboo

Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
 
Familia yake haimiliki visima vya mafuta arabuni, na waliwahi kumiliki meli mbili ndogo za mafuta, ambazo baada ya mambo kwenda mrama, wameziuza.
Pia hawamiliki kituo cha mafuta DRC,waliwahi kuwa navyo ZAMBIA na kwa sasa vimeuzwa na mabenki.
 

Na aliyeamuru kampuni kufungwa kama sikosei ni EL
 
kweli cv yake imepatikana. Mi nilikua simjui...thanks wanajf
 
Huyu Merei noma, siyo kwa mademu tu bali hata wasanii wa kiume wanaotaka maisha mazuri bila juhudi yeyote kama akina Kitenge wa ITV au Ben Kinyaia mwenzie na Maimartha yeye haimsumbui kuwanunulia hizi chaser au Mark II kwani malipo yake ni kuwaingilia kinyume na maumbile
 
Inawezekana ndo yameisha kwa style hiyo?
 

ndo kusema hao wenzetu siyo riziki? tayali wanamiliki mark 2?
 
Ni mpwa wa Bakrhesa
 

Siyo kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…