Huyu ni nani?


Correction!!!!.....bolded si JK?
 

Campareo.... you must be talking using your ass**** not your mouth!!!!
 
Mie nimechoka kabisa,kila mfanyabiashara mkubwa akitajwa na kuonekana anama mambo ya mashaka mashaka katika shughuli zake mwisho wa yote unagundua ni MFADHILI MKUBWA WA CCM.
Hiki chama kweli bado kina sifa ya kuitwa chama cha siasa cha wakulima na wafanyakazi (ndivyo wanavyojiita)? au kimepevuka na sasa kina sifa ya kuitwa kikundi cha KIGAIDI?
 
Mkjj Balozi wetu mpya burundi si yule Mama aliyekuwa katibu mkuu pale Wizara ya Ardhi-mstaafu aliyepata sifa angalau kwa kuanzisha mradi wa kupima viwanja 20,000?. Au unazungumzia mjeshi aliyeondoka!... Merei !
 
Ndio huyo, pia anahusishwa na kuwatembelea wanaume (tena maarufu hapa mjini) kinyume na maumbile... kasaidia "chama chetu" pia

hii ya kwako mbona ina hatari MTM ?
pamoja na masifa kedekede
hii sasa sifa chafu
 


Bongo tambalale tu🙄!
 
Mkjj Balozi wetu mpya burundi si yule Mama aliyekuwa katibu mkuu pale Wizara ya Ardhi-mstaafu aliyepata sifa angalau kwa kuanzisha mradi wa kupima viwanja 20,000?. Au unazungumzia mjeshi aliyeondoka!... Merei !

huyu mama ni balozi japan
 
Jamaa ana asili ya Comoro na ana uhusino mzuri sana na balozi wa Comoro hapa nyumbani. Inasemekana anashikilia interest za biashara za baadhi ya viongozi wa serikali ya Comoro.
 
Anaitwa Merey balhabou. Ukisearch kwenye google utampata. Ni mfanyabiashara wa mafuta. kuna kipindi alikuwa anatuhumiwa kwa kukwepa kodi ya zaidi ya bilioni 22 na tra. Pia inasemekana alikuwa anafanya biashara ya kubadilishana mafuta kwa almasi huko congo drc akishirikiana na Gen. Mboma. Pia alikuwa ana tenda ya kusupply mafuta jeshini ambayo yalikuwa exempted tax lakini yanaenda kuuzwa mtaani.

Na huyo albert marwa sio Balozi adam marwa?
 
Merei ni cot nyingine ya corruption tanzania kama wenzake akina RA, Mramba, Yona, etc
 
Nimepitia hii thread, nimefurahishwa watu wako well informed na mafisadi ila hakuna la kuwafanyia kwa kuwa ili kuwapata itakugharimu hata uhai kwa kuwa mafisadi hawa wamejiwekea foundation ambazo wanajua ni muhimu na wakijiondoa basi jengo litaporomoka. Kwa kuwa wenye jengo hawakubali kabisa msingi upate ufa na jengo kudondoka basi hawana budi kulinda msingi huo. Je, itakuwa rahisi upinzani kupenya na kuchukua madaraka nchi hii?
 
Huyu bwana alisoma Forest Hill Secondary School,Morogoro kati ya 1983-1986 na akaishia haho.Wakati huo akimiliki timu ya mpira ikiitwa Dubai Sports na pale opposite na stand ya zamani walikuwa wanauza ice cream(cone??) on behalf of Bakhressa pale Morogoro.Sijui uhusiano wake na Bakhressa ukoje.Inadaiwa kuwa hiyo nyumba ya consul wa Comoro anaimiliki.Ikumbukuwe kuwa miaka ya mwanzo ya 2000 mabinti wawili(Mamiss) walikutwa wamekufa katika swiming pool ya jumba hilo na mpaka leo hakuna aliyeshtakiwa kwa vifo hivyo.Very controversial guy.He is very obese these days but alikuwa a talented footballer during schooldays....his ADC is on Ipyana Mwandambo
 
Huyu bwana alisoma Forest Hill Secondary School,Morogoro kati ya 1983-1986 na akaishia hapo.Wakati huo akimiliki na kucheza timu ya mpira ikiitwa Dubai Sports na pale opposite na stand ya zamani walikuwa wanauza ice cream(cone??) on behalf of Bakhressa pale Morogoro.Sijui uhusiano wake na Bakhressa ukoje.Inadaiwa kuwa hiyo nyumba ya consul wa Comoro anaimiliki.Ikumbukuwe kuwa miaka ya mwanzo ya 2000 mabinti wawili(Mamiss) walikutwa wamekufa katika swiming pool ya jumba hilo na mpaka leo hakuna aliyeshtakiwa kwa vifo hivyo.Very controversial guy.He is very obese these days but alikuwa a talented footballer during schooldays....his ADC is on Ipyana Mwandambo
 

JF inatisha.
Watu wana takwimu za kila mtu hapa mahali!
 
Sina cha kuongeza, information zote muhimu za jamaa zimewekwa hadharani.

Big up wana JF!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…