Kabadilika sana pesa mzee baba karidhika kipindi kile zilikuwa shida bado alikuwa anachangachanga.Inavyoonekana alikulia maisha ya msoto maana siyo Kwa kupauka kule.Mbona amekua mweupe??
Poda au Halafu saiv ni Kama outara flani
Mwakingwe.Wapenzi wa kabumbu naombeni jibu, aliyepo pembeni ya nabii na mtume wa mwisho kwnye soka(Ronaldinho Gaucho) ni nani?View attachment 2570840
Kiungo punda mwenye footwork za Ngolo Kante na mikimbio ya Iniesta.Anafana na Sawa dogo
Hata mm imenichukua muda kidogo kumtambua Jamaa kawa bonge sijui tatizo nn.Nimeshindwa kukubal kama kwel ni ramirez
Kweli hakuna mtu mwembamba duniani..Ramires
Ni yeyeNimeshindwa kukubal kama kwel ni ramirez
Au basi ni Chege Chigunda.Kama Moshi Boban.
Je huyu?Nimeshindwa kukubal kama kwel ni ramirez