Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
Real Madrid imeingia nusu fainali ya klabu bingwa ulaya mara 7 mfululizo tangu 2011
Ronaldo ndiye mchezaji wa kwanza kufikisha magoli 100 katika kombe la klabu bingwa ulaya
Ronaldo ndiye mchezaji wa kwanza kufikisha magoli 103 katika mashindano yote yanayosimamiwa na chama cha soka ulaya (UEFA)
King CR7
Ronaldo ndiye mchezaji wa kwanza kufikisha magoli 100 katika kombe la klabu bingwa ulaya
Ronaldo ndiye mchezaji wa kwanza kufikisha magoli 103 katika mashindano yote yanayosimamiwa na chama cha soka ulaya (UEFA)
King CR7