duh haya yote umeyajuaje?Ni pesa yako tu mkuu, kama uko poa kidogo no problem mbona utamcameroon tu, mtoe out sehem poa like night club apate moja baridi then faster palepale tena hata kufuli hawapendelei kavaa esp. night. utajipimia faster.
Jmani wadau nimemfia na kumdondokea huyu mtoto balaa.....yaani kwenye movie tu mi hoiiii kuna mwenye contact zake wadau? au anapatikana mitaa gani.....nimshughulikie..
Juzi nimemwoana akihojiwa Clouds TV akiwa ameambatana na mumewe mtarajiwa. Don't belittle her, she seems to be very focused with her life.