Huyu Shahidi wa kwanza kamaliza kesi ya Gachagua

Huyu Shahidi wa kwanza kamaliza kesi ya Gachagua

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Huyu Shahidi wa kwanza upande wa Bunge la Taifa , Mh Mwenge Mutuse ameshamaliza kesi. Inaonekana alitoa lawama bila kuwa na ushahidi Maalum.

Yani anaulizwa maswali na wakili wa Gachagua amebakia kushangaa. Kama yeye aliyeleta Muswada wa kumuindoa Gachagua madarakani anashindwa kujibu maswali basi kesi imeisha.

Ameulizwa ana shida gani na makampuni aliyoyaorodheshwa anadai Hana shida yoyote. Sasa aliorodhesha ya nini?. Kabaki kujiumauma. Anaboa kwakweli.
 
Huyu Shahidi wa kwanza upande wa Bunge la Taifa , Mh Mwenge Mutuse ameshamaliza kesi. Inaonekana alitoa lawama bila kuwa na ushahidi Maalum. Yani anaulizwa maswali na wakili ...
Kufa Makanga kufa dereva. Wakae wamalize. Akiondoka Naibu hao vichaa wataimba huo wimbo baye Ruto akwende. 🙏🙏🙏
 
Hahahaha jamaa kakandwa kakandika kweli kweli na anaonekana anaongea kwa hisia tuu!
 
Huyu Mutuse amejiingiza Kwenye hatari kibwege sana

HAJUI ukubwa wa Vita aliyojiingiza

Ushahidi wake uko kiudhalilushaji zaidi badala ya facts presentation 🐼
 
Huyu Shahidi wa kwanza upande wa Bunge la Taifa , Mh Mwenge Mutuse ameshamaliza kesi. Inaonekana alitoa lawama bila kuwa na ushahidi Maalum.

Yani anaulizwa maswali na wakili wa Gachagua amebakia kushangaa. Kama yeye aliyeleta Muswada wa kumuindoa Gachagua madarakani anashindwa kujibu maswali basi kesi imeisha.

Ameulizwa ana shida gani na makampuni aliyoyaorodheshwa anadai Hana shida yoyote. Sasa aliorodhesha ya nini?. Kabaki kujiumauma. Anaboa kwakweli.
Mwanzako kaugua ghafla unafikiri hayo mashtaka ni mchezo.
 
Back
Top Bottom