Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mtu akimkosoa Mond unatokwa povu kama umekunywa omo mixer foma gold. [emoji23] [emoji23] [emoji23]huyo hapendagi maendeleo ya mtu yeyote,sijui ana nini....?
Ndio maana tumeamua kufuta ajira za walimu ..Kwani tu huyo shiloleofficial peke yake ndo anatukanaga watu nchi hii...mbona wengine wanatukana watu hujawafungulia thread or jamaa amewashika pabaya mnaanza kuweweseka...skia fanyeni mziki acheni kuhangaika na watukanaji wa mitandaoni...msanii gani mkubwa hapa duniani or Tanzania ushawahi sikia management yake inahangaika na mtukanaji wa mitandaoni
Mtu akimkosoa Mond unatokwa povu kama umekunywa omo mixer foma gold. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una uhakika?Eti management ya msanii inafunga safari kwenda kumkamata mtukanaji wa kwenye mitandao
[emoji87] [emoji87]
Kwa akili zako unadhani kila mtu ili aishi na kufanikiwa lazima awe mwalimu..hakuna maisha nje ya ualimu??Ndio maana tumeamua kufuta ajira za walimu ..
Mhh, kumbe ndivyo ilivyokuwa!!!??Eti management ya msanii inafunga safari kwenda kumkamata mtukanaji wa kwenye mitandao
[emoji87] [emoji87]
Huyu jamaa anawivu kweli kweli yani tena wakimaskini juz hapa wasafi wametoa nyimbo yao mpya yani,kuponda tu akati kila mitaa kwa sasa utaisikia hiyo nyimbo ya kokorohuyo hapendagi maendeleo ya mtu yeyote,sijui ana nini....?
Sijaponda ila nimeweka wazi jinsi video ya Kokoro walivyo copy na kupaste kutoka kwenye video ya Love me by Lil Wayne .Huyu jamaa anawivu kweli kweli yani tena wakimaskini juz hapa wasafi wametoa nyimbo yao mpya yani,kuponda tu akati kila mitaa kwa sasa utaisikia hiyo nyimbo ya kokoro
NdiyoUna uhakika?
Ndiyo ilivyokua, kina Sallam walipoteza uvumilivu wakaamua kumsaka mjinga anayetukana msanii wao mitandaoni.Mhh, kumbe ndivyo ilivyokuwa!!!??
Kumbe management ya yule msanii ndiyo ilifunga safari kumkamata??..,...[emoji31] [emoji31] [emoji31]Eti management ya msanii inafunga safari kwenda kumkamata mtukanaji wa kwenye mitandao
[emoji87] [emoji87]
Kumbe wamecopy?Sijaponda ila nimeweka wazi jinsi video ya Kokoro walivyo copy na kupaste kutoka kwenye video ya Love me by Lil Wayne .
Hampendi kusikia ukweli ehh [emoji23] [emoji23] [emoji23]
U vumilia kutukaniwa mwanao mama yako kweli?Utakamata watu wangapi?
Jifunzeni uvumilivu.
Uvumilivu kutukaniwa mwanao mama yako kweli?
Ignore matusi ya wajinga fanya kazi songa mbele.U vumilia kutukaniwa mwanao mama yako kweli?
Aliyemkamata ni shilole wakishirikiana na wastara sema baada ya kukamatwa ndo na kina tale na sallam wakaitwaKwani tu huyo shiloleofficial peke yake ndo anatukanaga watu nchi hii...mbona wengine wanatukana watu hujawafungulia thread or jamaa amewashika pabaya mnaanza kuweweseka...skia fanyeni mziki acheni kuhangaika na watukanaji wa mitandaoni...msanii gani mkubwa hapa duniani or Tanzania ushawahi sikia management yake inahangaika na mtukanaji wa mitandaoni