KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Miaka minneWigi alianza kuvaa alipokuwa na umri gani?
Msome tena mleta madaWigi alianza kuvaa alipokuwa na umri gani?
Bi Rose alikuwa kisu.Bibi titi Mohamed ndio alikuwa hivyo kumbe !
Binafsi nilikuwa na taswira nyingine kabisa.
Makinda hawezi kuwa pini kiasi hicho,nakataa.View attachment 3163721
ANAANDIKA DADA CHEMI CHE MPONDA AKIWA MAREKANI...
"Hawa ni wazazi wangu wakiwa na marehemu Bibi Titi Mohamed, takriban mwaka 1965.
Bibi Titi alikuwa miongoni mwa wanawake mashuhuri katika Harakati za Uhuru wa Tanganyika.
"Kuna picha inayozunguka mitandaoni ambayo i
baba yangu amekatwa na kudaiwa kuwa ni picha ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anna Makinda!
"Ukweli ni kwamba hao kutoka kushoto kwenda kulia ni mama yangu Bi. Rita Che-Mponda, katikati ni Bibi Titi Mohamed, na kushoto ni baba yangu Dkt. Aleck Che-Mponda, ambaye wakati huo alikuwa mtangazaji wa Voice of America."
Case closed!
Kwa hisani ya ©makinikiayahabari
Umetoa kwenye kurasa za issa michuzi au wewe ndiyo michuzi?View attachment 3163721
ANAANDIKA DADA CHEMI CHE MPONDA AKIWA MAREKANI...
"Hawa ni wazazi wangu wakiwa na marehemu Bibi Titi Mohamed, takriban mwaka 1965.
Bibi Titi alikuwa miongoni mwa wanawake mashuhuri katika Harakati za Uhuru wa Tanganyika.
"Kuna picha inayozunguka mitandaoni ambayo i
baba yangu amekatwa na kudaiwa kuwa ni picha ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anna Makinda!
"Ukweli ni kwamba hao kutoka kushoto kwenda kulia ni mama yangu Bi. Rita Che-Mponda, katikati ni Bibi Titi Mohamed, na kushoto ni baba yangu Dkt. Aleck Che-Mponda, ambaye wakati huo alikuwa mtangazaji wa Voice of America."
Case closed!
Kwa hisani ya ©makinikiayahabari
Ulikua na taswira ya baibui?Bibi titi Mohamed ndio alikuwa hivyo kumbe !
Binafsi nilikuwa na taswira nyingine kabisa.
Mbona sasa haujaweka hiyo picha iliyokatwa ili tuweze kuamini hicho unachokanusha?View attachment 3163721
ANAANDIKA DADA CHEMI CHE MPONDA AKIWA MAREKANI...
"Hawa ni wazazi wangu wakiwa na marehemu Bibi Titi Mohamed, takriban mwaka 1965.
Bibi Titi alikuwa miongoni mwa wanawake mashuhuri katika Harakati za Uhuru wa Tanganyika.
"Kuna picha inayozunguka mitandaoni ambayo i
baba yangu amekatwa na kudaiwa kuwa ni picha ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anna Makinda!
"Ukweli ni kwamba hao kutoka kushoto kwenda kulia ni mama yangu Bi. Rita Che-Mponda, katikati ni Bibi Titi Mohamed, na kushoto ni baba yangu Dkt. Aleck Che-Mponda, ambaye wakati huo alikuwa mtangazaji wa Voice of America."
Case closed!
Kwa hisani ya ©makinikiayahabari