Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
hana kitu huyu dada.
Wanaboa Sana as if mtu utakimbia na nyumba....aaaagh
Me sijaona tatizo hapo zaidi ya kuona ana eleza yaliyo moyoni mwake na jinsi anavyo mkubali Wema.
Sijaona sababu ya kusema ana tafuta kick kwa kusema ana mkubali Wema Sepetu.
Sidhani kama amefanya kosa lolote.
Kasema ya moyoni mwake.
Alitimuliwaaaa etiiii
Wewe ni mbea
Anatafuta kick kwa sababu wema sepetu kupitia msemaji wake Martin Kadinda alisema hawakitambui kitu kinaitwa Team wema wala hawana team yoyote kwenye mitandao ya kijamii
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Nani anabisha kama martin kadinda na wema wanachangia bwana
Diva si mtoto wa ndani ya ndoa kwa mzee malinz bali history inaonyesha kuwa mama yake alikuwa mfanyakaz wa ndani kwa malinz ndio mkuu akachepuka bahat mbaya ikazaliwa hii adhabu nje ya ndoa kama alivyokuwa Zamarad Mketema naye mama yake alikuwa house girl wa Marehem Mketema mama wa Zamarad ni Mhutu kabla Diva hajawa mtangazaji clouds alikuwa mmoja wa wanachama wa kund la Tip top alijiunga pamoja na dada Keisha
Kuhus diva na Zamarad najaribu ku upload pictures zao kuanzia 1993 zenye caption swala la kadinda na wema wanachangia bwana hilo halina ubishi sijui nikupatie uthibitisho wa aina gani isitoshe mtoto wa kiume huwez kujibatiza jina la kike kwenye Instagram martin ana account fake anajiita mwatumu38
Hahahaaaa...nimependa huu udaku aisee.. ngoja nikae mkao wa kula Dinazarde Kim nana Gossipcopwarumi snipa lusungo Heaven on Earth Evelyn Salt na wengine njooni muone ya mjini
babamkubwa hyo acc sio mwatumu37?? Nimeona ni mpya Ina post tano...duu watu wana mambo kweli... hivi usipojipangantakupanga ni nani?Kuhus diva na Zamarad najaribu ku upload pictures zao kuanzia 1993 zenye caption swala la kadinda na wema wanachangia bwana hilo halina ubishi sijui nikupatie uthibitisho wa aina gani isitoshe mtoto wa kiume huwez kujibatiza jina la kike kwenye Instagram martin ana account fake anajiita mwatumu38
babamkubwa anakuja vizur kwa kweli naomba tumpokee kwa mikono miwili, nimependa style yake, nadhan ana mengi sana ya kushare na sisi ambayo hatuyajui
Kuhus diva na Zamarad najaribu ku upload pictures zao kuanzia 1993 zenye caption swala la kadinda na wema wanachangia bwana hilo halina ubishi sijui nikupatie uthibitisho wa aina gani isitoshe mtoto wa kiume huwez kujibatiza jina la kike kwenye Instagram martin ana account fake anajiita mwatumu38