Huyu sista du mbona anapenda 'kiki' sana

Anatafuta kick kwa sababu wema sepetu kupitia msemaji wake Martin Kadinda alisema hawakitambui kitu kinaitwa Team wema wala hawana team yoyote kwenye mitandao ya kijamii


In this world nothing is certain than Tax and Death.

Nasikia huyo kadinda mwenyewe ndiye mwenye team ushuziushuzi
 

dooh wonders shall never end
 

Du makubwa madogo yananafuu, mazito kweli, warumi kwa pm nitaje majina ili umbea ukamilike vizuri. Na wasichana wasasa hivi wanavyopenda kuishi maisha makubwa kama yakina wema sepetunga mbona kazi wanayo
 
Last edited by a moderator:

Jamani rio paul anatinda nyusi, anapaka lipstick. kwenye birthday yake aliweka kadi instagram imeandikwa kwa mwandiko wa kiume kabisaaaaaaaa maneno ya kimapenzi. Mungu epusha haya kwa wanetu. hivi ni shida au ni nini jamani??
 
Last edited by a moderator:
Jamani kuweni japo fair kwa nafsi zenu na kwa Mungu pia. Kipindi cha anakonda kulikuwa na team anakonda na watu na akili zao walikuwa wanawachafua clouds fm kwa kisa wasichojua kilipoanzia. so kwa jide ilikuwa poa lakini kwa kuwa ni kwa wema basi ni shida. team zipo hata team yanga, simba, ccm n.k. hawa ni mashabiki kwa akili zao binafsi wameamua kuwapenda wahusika. hakuna haja ya kuita watu team mavi mavi kisa tu hukubaliani na kile wanachokiamini wao. mioyo yenu kwa namna flani ina mapenzi kwa watu flani flani katika jamii...hili halizuiliki ni hali ya asili.
Hebu Ruttashobolwa nisaidie ndugu yangu katika hili.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo mkuu unanihakikishia kwamba hizo hapo juu zote ni mboga?
 
Ally k siaminiiiii jamanii

Mi diamond ndo siamin, maana nasikiaga tu,alikiba,timbulo,ney wa mitego,sam wa ukwel,martim,rommy na wengine wote wanaliwa na ushahid mi ninao,ila ndomo nasikiag sana ila sijui na wala sina uhakika
 
Mi diamond ndo siamin, maana nasikiaga tu,alikiba,timbulo,ney wa mitego,sam wa ukwel,martim,rommy na wengine wote wanaliwa na ushahid mi ninao,ila ndomo nasikiag sana ila sijui na wala sina uhakika

Watu wazushi jamanii,Ney mwanaume,Ally K mwanaume,mnaziumiza familia zao, mtu kama Sam Wa ukweli kaoa mkewe akiona ama kusikia mnahisi anajickiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…