Elections 2015 Huyu siyo Edward Lowassa ninayemfahamu kabla ya kujiuzulu 2008!

Wanamshangaa kikongwe aliyehama chama, mtu mzima tena mzee anahama mji wake ..si siri Lowassa atakuwa ana matatizo makuuuubwa sana sijapata kuona ..

Mijinga inajazana ujinga. Jiandaeni kukimbia nchi wapuuzi nyie. Ccm kwisha habari yake
 
Huyo huyo ndio wetu si ni sisi waamuuzi.
 
Mkuu,
Lowassa wa sasa hata anachokisema bila kusoma kinakuwa na upungufu wa mtiririko wa mantiki.

Lowassa wa sasa hata kusoma anapata shida!
 
Mkuu,
Lowassa wa sasa hata anachokisema bila kusoma kinakuwa na upungufu wa mtiririko wa mantiki.

Lowassa wa sasa hata kusoma anapata shida!

Mbona huelewi! Tunahitaji kujua anasema nini na si kujua anasemaje! Hao wanaoweza kutembea na kuongea si ndiyo wenye kuzunguka tu kila leo nje, au wamefanyia nini nchi!?
 
Mbona huelewi! Tunahitaji kujua anasema nini na si kujua anasemaje! Hao wanaoweza kutembea na kuongea si ndiyo wenye kuzunguka tu kila leo nje, au wamefanyia nini nchi!?
Mkuu,
Utafahamu anasema nini bila huyo msemaji kuwa na kisemeo imara!

Kujua anasema nini ni moja ya matokeo ya kuongea kwa ufasaha.

Msingi wa hoja yangu sio comparisons ya viongozi wanaoweza kuongea/kutembea na wale ambao hawawezi kama unavyotaka kuanza kujenga hoja ya nguvu.
 
Cha kushangaza upinzani hadi leo hawajaanza michakato ya kumpata mgombea wao...
Sijuhi wanasubiria minyukano ndani ya ccm au vipi...?
Tulishaona mara kadhaa madhara ya minyukano ndani ya ccm...!
Na vile vile tulishaona madhara ya wapinzani kuchelewesha mikakati yao...!
Wananchi wanahitaji mabidiliko...!
Wasipo pewa fursa mbadala na watu makini wataendelea kuchagua ovyo ovyo...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…