Huyu SODOKU ni mtangazaji wa TV flan hapa Bongo. Nimemshtukia

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kuna haja watu wawe wanatumia majina yao halisi . kuna watu humu ndani wananipa mashaka hasa huyu Jamaa wa visa na mikasa ya mapenz SODOKU.

nahisi ni mtangazaji wa ITV au Clouds TV na Radio. Mara nyingi mikasa anayoandika baada ya muda huwa nakuja kuipata huko. Katka suala la mapenz. Hasa hasa namna ya usimuliaji wake uburudisha na kufurahisha.

Ukwel anaweka na fix humo humo ili mradi tu tupate ujumbe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…