Huyu straika wa Simba kutoka Senegal ni hatari!

Simba ni tim ninayoipenda sn lkn kwny usajili haaiko makin kbs, ikimpata mchezaj mzur utasikia wapinzani wao wamepita nae mpk najiuliza maswal mengi sn, lkn naona km kuna dalali anaeuza wachezaji hp simba.
 
Mchezaji hatari hawezi toka senegal kuja Tanzania iyo ni fact
 
Huyu jamaa kwa kumuangalia nimegunduka ni mzuri akicheza nyuma ya striker. Bado simba haijatibu tatizo tunahitaji mtu wa mwisho target man. Nadhani kwakuwa muda upo wamlete ndayisenga au mavugo then kiiza achomolewe.
Front line ikiwa na Mgosi n simon pembeni then kati awepo huyo niang n ndayisenga/mavugo hapo hatapendeza.
 
Wanatumia mamilioni kwa ajili ya kuifunga Yanga tu, baada ya hapo wanafungwa na stand united ya shinyanga halafu wanaenda kujiliwaza kwa kushinda makombe ya mbuzi na mechi za mchangani....
 
Hivi mpaka sasa hivi tangu dirisha la usajili lianze Simba 'wamesajili' mapro wangapi na kuwaacha?...Mavugo...Ndayisenga...Dah
 
Ni afadhali mara 100 uwe na Elias Maguli katika foward line kuliko huyu sijui papa, sijui padri, sijui askofu kutoka Senegal!!!! Kuja kurudi simba yenye upinzani kama ile miaka ya 2000 hadi 2011 itachukuwa muda mrefu sana. Viongozi wa simba wamegeuka wanasiasa badala ya kuwa wanamichezo, usajili wanaoufanya unalenga kucheza na akili za mashabiki wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…