Kuna mambo mengine mnatafuta kwenda motoni bure yaani hata dhambi ya kuweka picha ikupeleke motoni kweli? Wakati hua mnakumbushwa kila siku, mambo mengine mnajitakia wenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]The wikeeknd anaimba hip hop.....!? Labda the weeknd wa Ara Chuga.