Huyu wa kuitwa Kanungila karimu shenz wahedi kabisa

Huyu wa kuitwa Kanungila karimu shenz wahedi kabisa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kweli jf imekuwa dampo la machizi,wajinga na wapenda sifa.huyu jamaa yupo active muda wote lakini michango yake miyeyusho.comment yake moja tu eti "Asante kwa taarifa" acha kutuletea ujinga wa Facebook humu ndani mdogo wangu.
Screenshot_20181106-124728.jpeg
 
Kweli jf imekuwa dampo la machizi,wajinga na wapenda sifa.huyu jamaa yupo active muda wote lakini michango yake miyeyusho.comment yake moja tu eti "Asante kwa taarifa" acha kutuletea ujinga wa Facebook humu ndani mdogo wangu.View attachment 923324
Mkuu kumbe nawe umetambua hili,nilijua Mimi peke yangu
Jamaa anaboa sana alafu cha kusikitisha ni verified user

Michango yake utumbo mtupu,kama kasoma elimu ya watu wazima enzi hizooo(ngumbalo)

Kama si hivyo atakuwa yuko bush ndani ndani huko,ambako hadi Leo wanajua raisi wao Nyerere,peke yake ndo anamiliki smartphone,huko inavyoonekana


Hahahaha
 
Unapoteza muda wako kudhani utaweza kumzuia homosapiens wenzako kufikiria
 
Kweli jf imekuwa dampo la machizi,wajinga na wapenda sifa.huyu jamaa yupo active muda wote lakini michango yake miyeyusho.comment yake moja tu eti "Asante kwa taarifa" acha kutuletea ujinga wa Facebook humu ndani mdogo wangu.View attachment 923324
Leo lazima utajwe kwa RC Paul Makonda yaani mtoto wa kiume unafuatilia maisha ya wanaume wenzako
 
Hahahhahahaha hapana mimi nadhani bado mkoloni ni Mjerumani
Yani we jamaa

Kama umeoa mkeo atakuwa anatabu,una mambo ya kikoloni sana aisee,si ajabu bado unavaa zile suruali zilizo chanua miguuni(zilipendwa),na unavalia tumboni ukichomekea shati mikono mirefu bhas unakuwa muhenga
Kabisa

Na matoleo yote ya simu nahisi bado utakuwa unatumia simens kidole au Philips

Yani upo kikoloni koloni.
 
Back
Top Bottom