ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mkuu kumbe nawe umetambua hili,nilijua Mimi peke yanguKweli jf imekuwa dampo la machizi,wajinga na wapenda sifa.huyu jamaa yupo active muda wote lakini michango yake miyeyusho.comment yake moja tu eti "Asante kwa taarifa" acha kutuletea ujinga wa Facebook humu ndani mdogo wangu.View attachment 923324
Makonda ana kazi nzito sana aiseeeUnapoteza muda wako kufuatilia wanaume wenzio..
Leo lazima utajwe kwa RC Paul Makonda yaani mtoto wa kiume unafuatilia maisha ya wanaume wenzakoKweli jf imekuwa dampo la machizi,wajinga na wapenda sifa.huyu jamaa yupo active muda wote lakini michango yake miyeyusho.comment yake moja tu eti "Asante kwa taarifa" acha kutuletea ujinga wa Facebook humu ndani mdogo wangu.View attachment 923324
Mwambie huyoJF hatuna utamaduni wa kufatiliana hivyo kila mtu na hamsini zake!
Kuna wengine hawawezi kujenga hoja ila wanatamani sana wamewachangiaji hapa JF mwisho wa siku atleast na yeye ajihisi mwana JF ana amua kuchangia kwa maneno hayo.
Ila usimpangie mtu cha kuandika kiongozi sijui tuko pamoja!
Mtoa mada ana hamu ya kupigwa bombaKanungila Karim waheed[emoji23]
Yani we jamaaHahahhahahaha hapana mimi nadhani bado mkoloni ni Mjerumani
umekuwa Konki master?Mtoa mada ana hamu ya kupigwa bomba
Konk konk master oil chafuumekuwa Konki master?