Huyu wakili anaitwa Mgogolo anapita kwenye media akiwaaminisha kuwa Yanga anastahili pointi 3 na magoli matatu

Huyu wakili anaitwa Mgogolo anapita kwenye media akiwaaminisha kuwa Yanga anastahili pointi 3 na magoli matatu

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nimemsikia na anajiaminisha sana kwamba Simba hawakupeleka timu hivyo wspinzani wao walistahili ushindi wa mezani.

Nahisi kumbe elimu haina msaada kabisa kwa watu wengi. Au ni mahaba na timu yake ya yanga tu ndio yanamfunga ufahamu.

Simba walisema hatutapeleka timu iwapo waliowafanyia fujo hawatachukuliwa hatua.

Swali la kujiuliza,iwapo bodi ya ligi ingechukua hatua siku ya mechi saa tano asubuhi,je Simba wangepeleka timu au wasingepeleka?

Maana sharti la Simba kutopeleka timu,lilikuwa wahusika wachukuliwe hatua!

Lakini badala ya wahusika kuchukuliwa hatua,bodi ya ligi ikaahirisha mechi!

Je huyu wakili mwenye mahaba,anawezaje ku hitimisha kwamba Simba waligoma kupeleka timu.

Anajuaje pengine ilikuwa ni mbinu ya kuwazubaisha wapinzani? Yanga anapewa pointi za mchezo gani na ulisha ahirishwa.

Hebu wenye akili wale wawili mwambieni huyu mzee anajiabisha.Mimi nilikuwa najua ni bonge la advocate kumbe kilaza tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Nimemsikia na anajiaminisha sana kwamba Simba hawakupeleka timu hivyo wspinzani wao walistahili ushindi wa mezani.

Nahisi kumbe elimu haina msaada kabisa kwa watu wengi.
Au ni mahaba na timu yake ya yanga tu ndio yanamfunga ufahamu.

Simba walisema hatutapeleka timu iwapo waliowafanyia fujo hawatachukuliwa hatua.
Swali la kujiuliza,iwapo bodi ya ligi ingechukua hatua siku ya mechi saa tano asubuhi,je Simba wangepeleka timu au wasingepeleka?
Maana sharti la Simba kutopeleka timu,lilikuwa wahusika wachukuliwe hatua!
Lakini badala ya wahusika kuchukuliwa hatua,bodi ya ligi ikaahirisha mechi!
Je huyu wakili mwenye mahaba,anawezaje ku hitimisha kwamba Simba waligoma kupeleka timu.
Anajuaje pengine ilikuwa ni mbinu ya kuwazubaisha wapinzani?
Yanga anapewa pointi za mchezo gani na ulisha ahirishwa.

Hebu wenye akili wale wawili mwambieni huyu mzee anajiabisha.Mimi nilikuwa najua ni bonge la advocate kumbe kilaza tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ona ng'ombe hili! Yaani mamlaka ifuate masharti ya Simba badala ya kanuni za ligi!
🚮🚮🚮
 
Nimemsikia na anajiaminisha sana kwamba Simba hawakupeleka timu hivyo wspinzani wao walistahili ushindi wa mezani.

Nahisi kumbe elimu haina msaada kabisa kwa watu wengi.
Au ni mahaba na timu yake ya yanga tu ndio yanamfunga ufahamu.

Simba walisema hatutapeleka timu iwapo waliowafanyia fujo hawatachukuliwa hatua.
Swali la kujiuliza,iwapo bodi ya ligi ingechukua hatua siku ya mechi saa tano asubuhi,je Simba wangepeleka timu au wasingepeleka?
Maana sharti la Simba kutopeleka timu,lilikuwa wahusika wachukuliwe hatua!
Lakini badala ya wahusika kuchukuliwa hatua,bodi ya ligi ikaahirisha mechi!
Je huyu wakili mwenye mahaba,anawezaje ku hitimisha kwamba Simba waligoma kupeleka timu.
Anajuaje pengine ilikuwa ni mbinu ya kuwazubaisha wapinzani?
Yanga anapewa pointi za mchezo gani na ulisha ahirishwa.

Hebu wenye akili wale wawili mwambieni huyu mzee anajiabisha.Mimi nilikuwa najua ni bonge la advocate kumbe kilaza tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hayo majibu hapo Utopoloni wanaweza kujibu wawili tu. Mzee Kikwete na Mzee Manara. Wengine wote hawawezi maana hawana akili. Hata aliyetamka hayo maneno kajounga nao, kumbe nae pia alikuwa mwenzao

Acha watumie haki yao ya kutokuwa na akili. Unadai pointi 3 mechi imeahirishwa na mamlaka halali. Ni sawa na NECTA iseme imefuta mtihani halafu wewe unaingia chumba mitihani kisichokuwa na wasimamizi kisha unatoka na kudai hutambui kufutwa ratiba ya mtihani wewe ulijiandaa NECTA ikupe alama zote 100%. Kama sio ugonjwa wa akili ni nini?
 
Ona ng'ombe hili! Yaani mamlaka ifuate masharti ya Simba badala ya kanuni za ligi!
🚮🚮🚮
Kweli akili hakuna utopolo. Kama TPBL walipuyanga imekula kwenu, mechi imefutwa na lazima ichezwe tarehe nyingine.
 
Nimemsikia na anajiaminisha sana kwamba Simba hawakupeleka timu hivyo wspinzani wao walistahili ushindi wa mezani.

Nahisi kumbe elimu haina msaada kabisa kwa watu wengi.
Au ni mahaba na timu yake ya yanga tu ndio yanamfunga ufahamu.

Simba walisema hatutapeleka timu iwapo waliowafanyia fujo hawatachukuliwa hatua.
Swali la kujiuliza,iwapo bodi ya ligi ingechukua hatua siku ya mechi saa tano asubuhi,je Simba wangepeleka timu au wasingepeleka?
Maana sharti la Simba kutopeleka timu,lilikuwa wahusika wachukuliwe hatua!
Lakini badala ya wahusika kuchukuliwa hatua,bodi ya ligi ikaahirisha mechi!
Je huyu wakili mwenye mahaba,anawezaje ku hitimisha kwamba Simba waligoma kupeleka timu.
Anajuaje pengine ilikuwa ni mbinu ya kuwazubaisha wapinzani?
Yanga anapewa pointi za mchezo gani na ulisha ahirishwa.

Hebu wenye akili wale wawili mwambieni huyu mzee anajiabisha.Mimi nilikuwa najua ni bonge la advocate kumbe kilaza tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mkuu jitahidi sana watu wasijue huna akili
 
Nimemsikia na anajiaminisha sana kwamba Simba hawakupeleka timu hivyo wspinzani wao walistahili ushindi wa mezani.

Nahisi kumbe elimu haina msaada kabisa kwa watu wengi. Au ni mahaba na timu yake ya yanga tu ndio yanamfunga ufahamu.

Simba walisema hatutapeleka timu iwapo waliowafanyia fujo hawatachukuliwa hatua.

Swali la kujiuliza,iwapo bodi ya ligi ingechukua hatua siku ya mechi saa tano asubuhi,je Simba wangepeleka timu au wasingepeleka?

Maana sharti la Simba kutopeleka timu,lilikuwa wahusika wachukuliwe hatua!

Lakini badala ya wahusika kuchukuliwa hatua,bodi ya ligi ikaahirisha mechi!

Je huyu wakili mwenye mahaba,anawezaje ku hitimisha kwamba Simba waligoma kupeleka timu.

Anajuaje pengine ilikuwa ni mbinu ya kuwazubaisha wapinzani? Yanga anapewa pointi za mchezo gani na ulisha ahirishwa.

Hebu wenye akili wale wawili mwambieni huyu mzee anajiabisha.Mimi nilikuwa najua ni bonge la advocate kumbe kilaza tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huyo hajawahi kushinda kesi ni mpuuzi mmoja shabiki oya oya wa nyuma mwiko
 
Hapana wewe ndio hujaelewa concept hapo.

Nchi hii ukiwa na akili ni ngumu sana kulala njaa kwasababu rizki zipo kwa wajinga ambao hawataki kushirikisha ubongo wao katika kufanya tafakuri.

Ni kama tu LBL walivyotumia mwanya huo kupiga hela kupitia wajinga ndivyo ambavyo Wakili msomi naye ameona fursa ya yeye kupiga hela.

Kashajua kwamba pale Yanga hakuna mwanasheria, yule Simon Patrick ni pambo tu hamna kitu na Yanga wanajua.

So jamaa baada ya kuona tangazo la Yanga kuwa litapeleka malalamiko yake kwenye ngazi za juu kudai haki yao.

Jamaa akasema yes hapa ndio pakupiga jackpot so nifanyeje? Ndio hiyo sasa kama unavyomuona anatumia nguvu kubwa kunadi sera zake kushawishi Yanga imchukue ili apige madusko ya mambwiga.
 
Nimemsikia na anajiaminisha sana kwamba Simba hawakupeleka timu hivyo wspinzani wao walistahili ushindi wa mezani.

Nahisi kumbe elimu haina msaada kabisa kwa watu wengi. Au ni mahaba na timu yake ya yanga tu ndio yanamfunga ufahamu.

Simba walisema hatutapeleka timu iwapo waliowafanyia fujo hawatachukuliwa hatua.

Swali la kujiuliza,iwapo bodi ya ligi ingechukua hatua siku ya mechi saa tano asubuhi,je Simba wangepeleka timu au wasingepeleka?

Maana sharti la Simba kutopeleka timu,lilikuwa wahusika wachukuliwe hatua!

Lakini badala ya wahusika kuchukuliwa hatua,bodi ya ligi ikaahirisha mechi!

Je huyu wakili mwenye mahaba,anawezaje ku hitimisha kwamba Simba waligoma kupeleka timu.

Anajuaje pengine ilikuwa ni mbinu ya kuwazubaisha wapinzani? Yanga anapewa pointi za mchezo gani na ulisha ahirishwa.

Hebu wenye akili wale wawili mwambieni huyu mzee anajiabisha.Mimi nilikuwa najua ni bonge la advocate kumbe kilaza tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ukushaingia kwenye ushabiki wa Simba, Yanga na MCC kwisha habari yako, ubongo utawakabidhi wao na kuanza kufikiri kwa kutumia kalio.
 
Nimemsikia na anajiaminisha sana kwamba Simba hawakupeleka timu hivyo wspinzani wao walistahili ushindi wa mezani.

Nahisi kumbe elimu haina msaada kabisa kwa watu wengi. Au ni mahaba na timu yake ya yanga tu ndio yanamfunga ufahamu.

Simba walisema hatutapeleka timu iwapo waliowafanyia fujo hawatachukuliwa hatua.

Swali la kujiuliza,iwapo bodi ya ligi ingechukua hatua siku ya mechi saa tano asubuhi,je Simba wangepeleka timu au wasingepeleka?

Maana sharti la Simba kutopeleka timu,lilikuwa wahusika wachukuliwe hatua!

Lakini badala ya wahusika kuchukuliwa hatua,bodi ya ligi ikaahirisha mechi!

Je huyu wakili mwenye mahaba,anawezaje ku hitimisha kwamba Simba waligoma kupeleka timu.

Anajuaje pengine ilikuwa ni mbinu ya kuwazubaisha wapinzani? Yanga anapewa pointi za mchezo gani na ulisha ahirishwa.

Hebu wenye akili wale wawili mwambieni huyu mzee anajiabisha.Mimi nilikuwa najua ni bonge la advocate kumbe kilaza tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wewe hutaki,hizo lazima mziteme.
 
Back
Top Bottom