dorge
Senior Member
- Feb 7, 2025
- 118
- 186
Ni kawaida kupaniki pale unakuwa denied. Lakini Europe is never safe. Hakuna binadamu wanafiki kama wazungu, sio wote lkn niseme serikali zao wote ni wanafiki.
Tuliowahi kuishi na hawa viumbe weupe ni mashahidi. Ule msemo wa HAKUNA URAFIKI WA KUDUMU BAKI INTEREST wanao wana.
zelensky angekubaliana na Putin aachane na NATO baaaasi.
www.jamiiforums.com
Tuliowahi kuishi na hawa viumbe weupe ni mashahidi. Ule msemo wa HAKUNA URAFIKI WA KUDUMU BAKI INTEREST wanao wana.
zelensky angekubaliana na Putin aachane na NATO baaaasi.
Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali
Link ya mazungumzo naipataje wadau https://www.aol.com/trumps-unprecedented-shouting-match-zelenskyy-213647725.html If the stakes weren't so high, it could have been foreign policy as reality-TV.