Huyu Zelensky wenu mnayemsifia kwa kupangusana na Trump, muonyeni Ulaya sio pa kukimbilia

Huyu Zelensky wenu mnayemsifia kwa kupangusana na Trump, muonyeni Ulaya sio pa kukimbilia

dorge

Senior Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
118
Reaction score
186
Ni kawaida kupaniki pale unakuwa denied. Lakini Europe is never safe. Hakuna binadamu wanafiki kama wazungu, sio wote lkn niseme serikali zao wote ni wanafiki.

Tuliowahi kuishi na hawa viumbe weupe ni mashahidi. Ule msemo wa HAKUNA URAFIKI WA KUDUMU BAKI INTEREST wanao wana.

zelensky angekubaliana na Putin aachane na NATO baaaasi.

 
Huko Ulaya watamla hadi utumbo... Bahati yake nae yupo makini katika kuwaleta vitani ili wakose wote
 
Uachie 18% ya ardhi ya nchi yako kisa unafiki ba uwoga wa watu wengine?

Let him fight
Until when and by what means, ikizingatiwa kwamba kila uchao bora ya jana?

You speak as though Russia would be sleeping, letting them free to recover the liberated territories.

Nyie endeleeni kumjaza upepo.
 
Kwa kuwa amekataliwa kujiunga Nato, saizi misaada inapungua, ni muda wa Zelensky kupambania amani sio vita
 
Ni kawaida kupaniki pale unakuwa denied. Lakini Europe is never safe. Hakuna binadamu wanafiki kama wazungu, sio wote lkn niseme serikali zao wote ni wanafiki.

Tuliowahi kuishi na hawa viumbe weupe ni mashahidi. Ule msemo wa HAKUNA URAFIKI WA KUDUMU BAKI INTEREST wanao wana.

zelensky angekubaliana na Putin aachane na NATO baaaasi.

Wewe ni mjinga na hujui kitu.
 
Until when and by what means, ikizingatiwa kwamba kila uchao bora ya jana?

You speak as though Russia would be sleeping, letting them free to recover the liberated territories.

Nyie endeleeni kumjaza upepo.
Ukrain not sleeping Either...
EU commitment to Ukraine support on this course is unwavering...
350k Death and Casualty on Russia vsv 70k Death Ukrain...

700k troops Ukrain vs 600k Russia...

Not bad fighting your enemy with all the support you have...

US is not everything
 
Until when and by what means, ikizingatiwa kwamba kila uchao bora ya jana?

You speak as though Russia would be sleeping, letting them free to recover the liberated territories.

Nyie endeleeni kumjaza upepo.
Ukrain not sleeping Either...
EU commitment to Ukraine support on this course is unwavering...
350k Death and Casualty on Russia vsv 70k Death Ukrain...

700k troops Ukrain vs 600k Russia...

Not bad fighting your enemy with all the support you have...

US is not everything
 
Wewe ni mwehu,malaya mtoto wa shetani malaya la wakigaidi. Terrorist family.kwendaaaa....sema unachokijua sio unatanguliza malinda meupe
Povu hutolewa na mtu ambaye hoja imemgusa kweri kweri! Ahahahahaha!!
 
Wewe ni mwehu,malaya mtoto wa shetani malaya la wakigaidi. Terrorist family.kwendaaaa....sema unachokijua sio unatanguliza malinda meupe
Mkuu punguza makali, mtoto huyo atakupigiza bann bure
 
Ni kawaida kupaniki pale unakuwa denied. Lakini Europe is never safe. Hakuna binadamu wanafiki kama wazungu, sio wote lkn niseme serikali zao wote ni wanafiki.

Tuliowahi kuishi na hawa viumbe weupe ni mashahidi. Ule msemo wa HAKUNA URAFIKI WA KUDUMU BAKI INTEREST wanao wana.

zelensky angekubaliana na Putin aachane na NATO baaaasi.


Kizazi cha kina Nyerere wangekuwa na akili kama zetu mpaka leo Afrika ingekuwa ni koloni.

Ukraine hawakuwahi kupapply kujoin NATO mpaka walipovamiwa.
 
Kizazi cha kina Nyerere wangekuwa na akili kama zetu mpaka leo Afrika ingekuwa ni koloni.
Hivi akili za Nyerere za ajabu ni zipi, kuleta ujaama nakufa wa Tanzania kua masikini wa kutupwa na kutuachia katiba mbovu na chama cha mafisadi
 
Back
Top Bottom