Mathiasyusuph
Member
- Jul 13, 2021
- 53
- 68
Kama haya makato ya kwenye account za simu hayatarekebishwa mwanainchi atakuwa na hali mbaya.
Jana nilitoa tsh.9000/ badala ya kukatwa tsh.9oo/ walikata 205o
Yaani sutatumia tena hii HUDUMA mpaka walekebishe huo uharamia
Jana nilitoa tsh.9000/ badala ya kukatwa tsh.9oo/ walikata 205o
Yaani sutatumia tena hii HUDUMA mpaka walekebishe huo uharamia