hv ndo nn

hv ndo nn

Lady G

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
515
Reaction score
131
Hv kwann wanaume hawapendi kuongozana na wake zao sehemu mbalix2. ni mkewe lkn kutoka nae outing breeeeek. Nn sababu hasa. Wknd njema
 
Hv kwann wanaume hawapendi kuongozana na wake zao sehemu mbalix2. ni mkewe lkn kutoka nae outing breeeeek. Nn sababu hasa. Wknd njema

My perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G


  1. Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
  2. The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
  3. Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
  4. Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
  5. Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
  6. Mke ni mshamba hayuko exposed.
  7. The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
  8. zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....
 
My perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G


  1. Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
  2. The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
  3. Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
  4. Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
  5. Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
  6. Mke ni mshamba hayuko exposed.
  7. The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
  8. zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....

Nakubaliana na wewe kiasi, sababu zote ulizoeleza hapo zinaeleza tu ushetani wa baadhi ya wanaume....kama mshamba hayuko exposed alimuoa wa nini? kama hauzi alimuoa wa nini,aliambiwa na nani kuwa hakutakuwa na mabadiliko katika mwili wa mke wake atabaki kuwa kuwa kama alivyokuwa kabla ya ndoa?
 
Nakubaliana na wewe kiasi, sababu zote ulizoeleza hapo zinaeleza tu ushetani wa baadhi ya wanaume....kama mshamba hayuko exposed alimuoa wa nini? kama hauzi alimuoa wa nini,aliambiwa na nani kuwa hakutakuwa na mabadiliko katika mwili wa mke wake atabaki kuwa kuwa kama alivyokuwa kabla ya ndoa?


Nakubali Michelle... but hio haitufanyi tu face the facts.... Most wanaume anapooa mdada anaangalia atakua a good wife? a good mom? a good house wife (in the case ya kutunza nyumba/usafi/budget)? Na you as a woman waweza kua yote hayo but you are not exposed, you don't like kujirusha, sio mrembo kivile - which to most men it does not matter as long as home pana amani. Akijua akitaka kujirusha atatafuta vimada.

Michelle note that mimi kutoa that perspective si kwamba na support; BUT ni kwamba by my observations na stories na baadhi ya wakaka that how i see it and its a reality...
 
kujiweka nadhifu uvutie wakati wote,hata kama una watoto na kazi za nyumbani zimekuelemea ni mtihani unaotushinda wengi wa wanawake:dance:
 
Mimi binafsi huwa sipendi kugandana na mume wangu kwenda nae sehemu zote. Kuwe kuna mualiko wa Mr.& Mrs. Au okeshens moja moja za kwenda auting. Kwani sehemu zake za kusosholaiz huni boa na hali kadhalika zang humbowa. Ya nini tabu na raha zipo? Yeye kivyake mimi kivyangu mradi kuna matembezi, masafari na mambo mengine ya kusoshalaiz ambayo tunafanya pamoja ambayo kila mmoja wetu anafurahia. Kisisi, kuoana si kutiana pingu.
 
My perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G



  1. Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
  2. The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
  3. Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
  4. Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
  5. Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
  6. Mke ni mshamba hayuko exposed.
  7. The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
  8. zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....

Kula tano faster , nimekupandishia mikono mrembo dah unatisha sana, wengine naona wanaiga tu! keep it up!!
 
My perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G


  1. Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
  2. The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
  3. Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
  4. Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
  5. Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
  6. Mke ni mshamba hayuko exposed.
  7. The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
  8. zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....

umeongea vyema mamito.
Pia mara nyingine mwanaume anapenda kampan ya wanaume wenzie tu.
 
My perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G



  1. Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
  2. The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
  3. Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
  4. Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
  5. Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
  6. Mke ni mshamba hayuko exposed.
  7. The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
  8. zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....
wengine wakirudi nyumbani valangati inaanza ohyule uliyesalimiana nae pale bibi yako bas tab tup
 
wengine wakirudi nyumbani valangati inaanza ohyule uliyesalimiana nae pale bibi yako bas tab tup


lol... Labda ulimuangalia kwa macho ambayo hutumii kwa wife.. yeye si mjinga bana.. penye kitu unaona vibration inakuwepo..
 
Na wanawake wasiopenda kutoka na waume zao je?
 
Back
Top Bottom