Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv kwann wanaume hawapendi kuongozana na wake zao sehemu mbalix2. ni mkewe lkn kutoka nae outing breeeeek. Nn sababu hasa. Wknd njema
My perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G
- Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
- The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
- Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
- Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
- Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
- Mke ni mshamba hayuko exposed.
- The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
- zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....
thanx Asha, nimejifunza kitu hapo
Nakubaliana na wewe kiasi, sababu zote ulizoeleza hapo zinaeleza tu ushetani wa baadhi ya wanaume....kama mshamba hayuko exposed alimuoa wa nini? kama hauzi alimuoa wa nini,aliambiwa na nani kuwa hakutakuwa na mabadiliko katika mwili wa mke wake atabaki kuwa kuwa kama alivyokuwa kabla ya ndoa?
My perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G
- Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
- The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
- Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
- Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
- Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
- Mke ni mshamba hayuko exposed.
- The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
- zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....
My perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G
- Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
- The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
- Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
- Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
- Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
- Mke ni mshamba hayuko exposed.
- The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
- zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....
wengine wakirudi nyumbani valangati inaanza ohyule uliyesalimiana nae pale bibi yako bas tab tupMy perspectives...Inaweza kua moja ya hizi sababau Lady G
- Huyo mwanaume ni player, hapendi watu wajue kaoa - ndo wale wakitoka nje ya gate anvua wedding ring.
- The wife is disappointing... Yani hauzi barabarani - mara nyingi husababishwa na baadhi ya wanawake wanaofikiri ukiolewa hamna umuhimu wa kuendeleza urembo kama alivyokua before.
- Mwanume kukosa uhuru - Wife akiwepo hawezi jipa luxury ya kumuangalia au ku flirt na mwanamke mwingine yaani hakuna jipya ambalo anaona atafaidi in the presence ya the wife.
- Maeneo hayo kuna kimada, au ni eneo ambalo humpleka kimada hivyo kutaka tu kuepusha shari.
- Mwanamke mwenyewe hana mzuka wa kutoka.... Wakitoka story zinakua "ooh nimechoka i wish ningekua bed nipumzike" mara "oo hii sehemu umenileta tumetumia elfu 80, si bora tu hata tunge ongezea kidogo tu-replace store gate"... bla bla bla.....
- Mke ni mshamba hayuko exposed.
- The wife akienda nae sehemu ana draw saaana attention, akili ya jamma zake hapo, akili ya wakubwa/Bosses hapo! in shor she is Red Hot
- zipo na nyingine kibao tokana na personality za hao wahusika wenyewe na nature ya ndoa ikitegemea vitu kama walikutana vipi/vitu gani wanapenda/mtazamo wa maisha/kipato chao.... The list goes on....
wengine wakirudi nyumbani valangati inaanza ohyule uliyesalimiana nae pale bibi yako bas tab tup
Gaga Unaniruhusu???